Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Unanikumbusha siku moja nikiwa zenj kuna baba wa watu msukuma mkokoteni alikuwa amejaza mkokoteni wake mkaa mpaka pomoni,kafika katikati ya mataa ya darajani mzigo ukamwelemea hivyo mkokoteni kukwama.Akiwa anaangaika kujinasua na dhahama ile kwa muda bila ya mafanikio,katika daladala niliyokuwemo mama mmoja akasema,"Hakika waume zetu wanaangaika sana kututafutia chochote lakini bado mume wa mfano huu akirudi nyumbani unampokea kwa maudhi"
Women sometimes are required to appreciate what their men do to make life go on.
Wanawake wote wangekuwa na fikra kama hizo nadhani hata idadi ya ndoa zenye matatizo ingepungua sana!