Amesema Kimara mwisho au kwa mara misho?Shamba/kiwanja? Umeshayaona hayo mashamba kimara mwisho?
mi nimeona kama amemaanisha location. Nway, akirudi atatuambia amemaanisha nini. Goodmorning!Amesema Kimara mwisho au kwa mara misho?
Nadhani anataka kujua kwa mara ya mwisho
alie nunua alinunua bei gani? ndio nilivomsoma :confused2:
Ewaaaa.......... Marhabaa. Ahsante kwa kunipatia apetaiti. Usisahau makubaliano yetu.plz babu usinikasirikie, si unajua wewe ndio umeshika kile kimzizi cha mafanikio yangu!! Shkamoo babu (huku nimepiga goti)
Ewaaaa.......... Marhabaa. Ahsante kwa kunipatia apetaiti. Usisahau makubaliano yetu.
Ewaaaa.......... Marhabaa. Ahsante kwa kunipatia apetaiti. Usisahau makubaliano yetu.
Wachaga wanakaa Kimara au Moshi? Hepi besdei King'asti. Umeninyima pilau, sichezi tena na wewe....
mbona kama babu anazidiwa uzitohehehe zamani babu cku hizi 2naenjoy 2 kwene ka garden ke2