ninataka rafiki wa kiume umri kati 40 na kuendelea awe mfanyakazi na mkristo
mmhh
bibie mbona umewalegezea hivyo??
Wenyewe wakitakaga msichana/mwanamke..
Mmmhh ni balaa humu ndani wataandika mpaka na rangi ya nguooo..
Wakazie basi mtego kidogo ....
Mmmhhh usiwaonee huruma..
mimi nina miaka 47 nina mke na watoto 7, je unaweza kuwa nyumba ndogo.....Ninataka rafiki wa kiume umri kati 40 na kuendelea awe mfanyakazi na mkristo
mimi nina 40 na isiwe zaidi ya 44
kumbukeni kuna rafiki na mpenzi mimi nahitaji mpenzi naona mmeshaanza kunishambulia mawazo yamekwenda mbaliiiiiiiii
Ninataka rafiki wa kiume umri kati 40 na kuendelea awe mfanyakazi na mkristo
:crying::crying::crying::crying::crying:kumbukeni kuna rafiki na mpenzi mimi nahitaji mpenzi naona mmeshaanza kunishambulia mawazo yamekwenda mbaliiiiiiiii
mmhhh
Ivunga umeniamkia tena leo ae??
nitakufikiria