Mmefanana kasoro baby hatumii mkorogo kama mama yake.
heeeee!Mdomo wa kula denda.
<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /><o></o>
Tunawatakia siku njema mbarikiwe na bwana nguo hizo zinapatikana kibanda changu cha mama Ntilie magomeni migox2
Wajameni, inawezekana mimi ndio nimepotea?!. FL1 kaleta hii kutangaza biashara ya nguo zinazopatikana dukani kwake!, biashara ni nguo au hizo look alike?!.
Ila pia nakubali they look great save tuu kwa usafiri wa mama!.
Taja jina la duka na mtaa lilipo, watu waje kuzinunua na pia kuulizia bei!.
Mmefanana kasoro baby hatumii mkorogo kama mama yake.
<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /><o></o>
Tunawatakia siku njema mbarikiwe na bwana nguo hizo zinapatikana kibanda changu cha mama Ntilie magomeni migox2