Huyu ni dada wa damu charminglady......wewe mzima eeh?
niko salama wiseboy,sasa pacha wangu si wiseman jamani wewe unakuwa my son...mzima lkn?
marhaba my charmingal,kwa hakika mimi ni dada yenu kabisa,karibu mlimani...:flypig:
woooh,nilikuwa simfahamu kabisa. happy to know u WiseLady!
Ndio ujue thatha lol
WiseLady
sweetlady
charminglady
Raha sana......ila sema siku hizi WiseLady majukumu ya kitaifa yamembana sana ndio mana unaona kapotea kidogo!
Mpendwa kilio chako kimesikika nami nimeshuka toka mlimani kukusabahi kwa upendo ule ule,mahitaji yakuombea yamekuwa mengi na wanamaombi kama Zion Daughter na Kaizer the Pope wamekuwa wavivu...otherwise naamini unakumbuka ahadi.Barikiwa:A S 465: