tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
Wana Jf nimemis sana PJ sijamuona humu kwenye uwanja wetu mida sasa yeyote anayejua taarifa zake aniwakilishie...najaribu kumtafuta kwa simu hapatikani..ni jambo jema wana fj kujualiana hali...miss you so much PJ...asanten nawakilisha...