I miss you.....I miss you too...I miss you more....I miss you most.....

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,216
113,520
Jamani nauliza tu kutokana na observation yangu na lived experience yangu. Hivi kwa nini mtu anapokwambia kuwa ameku-miss na wewe almost automatically utamwambia 'I miss you too'....Je ina maana kwa vile wewe hukuanza kumwambia kuwa umem-miss basi 'I miss you too' yako si ya kiaminifu, kwamba haijatoka moyoni kwa hiyo hukuimaanisha. Umesema hivyo kwa vile tu yeye kasema kwanza?
 
Kama kweli mnapendana sana na mna mawasiliano ya kila siku ama ya kuwa pamoja, kuongea kwa simu n.k. basi ikitokea hamjaonana au kuongea kwa siku mbili tatu hali huwa hivyo kwamba kila mtu ana mmiss mwenziye...na hata I love you na mwingine ataongezea I love you too.
 
Kama kweli mnapendana sana na mna mawasiliano ya kila siku ama ya kuwa pamoja, kuongea kwa simu n.k. basi ikitokea hamjaonana au kuongea kwa siku mbili tatu hali huwa hivyo kwamba kila mtu ana mmiss mwenziye...na hata I love you na mwingine ataongezea I love you too.

Lakini Bubu, ninachosema mimi ni kwamba, tuseme wewe na demu wako na hamjaonana wala kuwasiliana kwa siku kadhaa na pengine labda wote mlikumbukana ktk kipindi hicho cha ukimya. Mkaja mkawasiliana na demu akakwambia 'I missed you' na wewe ukamwambia 'I missed you too'....ina maana 'I miss you' yako siyo sincere kwa vile hukuanza kusema wewe hiyo 'I miss you? Kwangu mimi haijalishi nani kaanza kusema.....
 
Lakini Bubu, ninachosema mimi ni kwamba, tuseme wewe na demu wako na hamjaonana wala kuwasiliana kwa siku kadhaa na pengine labda wote mlikumbukana ktk kipindi hicho cha ukimya. Mkaja mkawasiliana na demu akakwambia 'I missed you' na wewe ukamwambia 'I missed you too'....ina maana 'I miss you' yako siyo sincere kwa vile hukuanza kusema wewe hiyo 'I miss you? Kwangu mimi haijalishi nani kaanza kusema.....

NN, kwa Wapendao sidhani kama wanajali ni yupi kaanza kutamka hayo maneno...wakati mwingine unaweza ukatamka wa kwanza na wakati mwingine yeye anaweza kuyatamka wa kwanza na wala kusiwe na league kati yenu na mmoja kumuuliza mwenzie mbona hukuniambia kama umenimiss hadi mimi nilipokwambia hivyo.
 
Bwana NN, hapo umenena...
Mimi kwakweli sidhani kama, "I miss you too..." iko sincere... Inatokea automatically tu kwamba mtu akikwambia hivyo, basi na wewe unamjibu vile...
Lakini kwa upande mwingine pia, hebu imagine; Mtu akakwambia, "I miss you", halafu wewe usimjibu chochote, au ukaishia kusema, "thank you", hauoni kama, anaweza akaingiwa na wasiwasi kuwa; hili lijamaa halinijali wala nini... Unaionaje hiyo???
 
Nyani Ngabu naona umeamua kweli kweli ni penzi gani hilo linakuchanganya ? naona msimu huu umeibuka na matopic ya malav dav tu ...kulikoni?
 
mambo ya kucrame hayo na ndio maana hata mtu akisema happy birthday man mtu ana respond the same to you. Au mwalimu alikuwa anafundisha shule yenye blackboard nyeusi hata akineda sehemu kuna wa kijani husema have u seen what the point I have just made on the blackboard?
 
aaah mi huwa inanipa tabu sana, najilazimisha tu kumwamini mtu anayenijibu ati......i missed you too.....

mbona hukuniambia kabla sijasema??
what if mtu anakwambia 'I missed you' na wewe wala hukum-miss? utathubutu kusema at....'I did not miss u'?
 
Jamani nauliza tu kutokana na observation yangu na lived experience yangu. Hivi kwa nini mtu anapokwambia kuwa ameku-miss na wewe almost automatically utamwambia 'I miss you too'....Je ina maana kwa vile wewe hukuanza kumwambia kuwa umem-miss basi 'I miss you too' yako si ya kiaminifu, kwamba haijatoka moyoni kwa hiyo hukuimaanisha. Umesema hivyo kwa vile tu yeye kasema kwanza?

Ulilala na nani jana mpwa maana leo hizi topics unatuswalika kiajabu ajabu!
 
Back
Top Bottom