pole kwa ban dada ni muda mrefu sana sijakuona wapenda haki wenzako TUNAENDELEA KUKUOMBEA KWA WENYEWE ILI UFUTIWE ADHABU YAKO.MY TAKE WASIFIE ILI UENDANE NAO .EID MUBARAK.
Faiza Foxy akafilie mbali kabisa. Na kama ban yake ni ya kipindi fulani naomba tena naomba sana sana sana aongezewe miaka mingine miwili ili Jukwaa la Siasa lipumue na kuvuta upepo mwanana usio na harufu mbaya ya udini wa FF.
Kuhusu dada Faizafoxy aka JF-BAN1, mbona mjomba wake zomba yupo anamwakilisha vizuri tu? Bahati mbaya ni kuwa protokali haiwaruhusu kuwepo humu wote wawili kwa wakati moja, lazima wapeane zamu.
Kuhusu dada Faizafoxy aka JF-BAN1, mbona mjomba wake zomba yupo anamwakilisha vizuri tu? Bahati mbaya ni kuwa protokali haiwaruhusu kuwepo humu wote wawili kwa wakati moja, lazima wapeane zamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.