Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
- Thread starter
- #61
Ha ha ha,watu watarudi huko kwa kasi kweli kweli......
ulikuwa haujui? fanya fasta dada, babu kasema karibuni communication yake na god itaexpire. ningekupitia lakini wiki hii nina mapress conference ya kumpigia debe mshkaji atoke kimaisha. chukua taxi halaf nitumie invoice nitakamilisha malipo.Hivi kumbe ukinywa huathiriki tena?? nitashikika kweli baada ya hii dawa? Kloro take me there nimechoka hizi ARV aiseee!!!
ulikuwa haujui? fanya fasta dada, babu kasema karibuni communication yake na god itaexpire. ningekupitia lakini wiki hii nina mapress conference ya kumpigia debe mshkaji atoke kimaisha. chukua taxi halaf nitumie invoice nitakamilisha malipo.
Subutu! Tufuate dawa kwa ndege tuje kukuuzia buku tano tu?
Kwanini chumbani??Alafu kuna giza huko!
hata maji mi nitakunywa tu kwa imani....twendeni....kama unampenda Michelle....... mpeleke Loliondo......!!!
Kumbe...,?
shalobaro wewe akili zimehamia huko chini....kule taxi hazifiki.....nitumie Range au VX basi?? kama huwezi sema,sipendi kuzungushwa....:decision:
hehehe basi kaa tayari halaf nikikupitia ukuwe na night dress tu sababu yule babu ukivaa maguo mazito dawa zinakuwa worthless. na vilipustiki usisahau (hii ni kwa mujibu wa babu sio mimi, mimi napinga sana wanawake kuonekana body language zao ovyo ovyo)shalobaro wewe akili zimehamia huko chini....kule taxi hazifiki.....nitumie Range au VX basi?? kama huwezi sema,sipendi kuzungushwa....:decision:
Sababu ni za kiintelijensia.
Nina busara zaidi ujue. Nimevumilia mengi na kwa muda mrefu
Lakini jamani nyie wakazi wa arusha mnashindwa kukodi boza mkachukue hayo maji mje kuuza? Ujasiriamali bana
lile babu sasa hivi likisema ligombee urais, slaa na kikwete watapewa kura na wake zao tu. huyo lipumba mwenyewe kura yake atampa babu.Ushauri gani huo?Acha babu agawe mwenyewe maana ikitoka kwa mtu wa pili haifanyi kazi!
Mmh intelijensia!Haya njoo uniambie...
lile babu sasa hivi likisema ligombee urais, slaa na kikwete watapewa kura na wake zao tu. huyo lipumba mwenyewe kura yake atampa babu.
lile babu sasa hivi likisema ligombee urais, slaa na kikwete watapewa kura na wake zao tu. huyo lipumba mwenyewe kura yake atampa babu.
Check chumbani bana. Nilisha fanya utaratibu.
Halafu chumbani naona umefunga mlango kabisa. Sema neno moja tu.
mkuu ni balaa! usishangae siku hizi wakati mnatoana jasho na waifu wako ukaskia anascream baabu! loliondo! baabu. khaaa kimelipuka!Ha hahahhahah,watu humu.....inawezekana,maanke hii ride ni kali mzee!
shalobaro wewe akili zimehamia huko chini....kule taxi hazifiki.....nitumie Range au VX basi?? kama huwezi sema,sipendi kuzungushwa....:decision: