I love u dad it means.....thanx for the cash..
I love u mom it means......thanx for everything...
I love u to ur gf it means.....lets have sex...
We Shishi wewe si majuzi ulisema kuna njemba imekubinafsisha jumla,sasa haya ya malavi davi Samora Avenue yametoka wapi,au unataka umfanzie mai husband wako?Ahsante BAK kuwakumbusha hawa viumbe.... we need to hear it more often kama capsule 2*4. LOL.
problem is alot of african men dont like to show emotion and share feelings. kuna mtu namvizia kumpiga bonge la busu hadharani kama atakufa afe tumzike ahahhahahahah!!!!
Tatizo wengine hatujapata mwenye sifa na maqualifications ya kuambiwa nam loveee kichizi 24/7x364,si unajua hapa mujini uzushi tu mwenye dhahabu anauza dhahabu feki na mlipaji analipia dola feki?uko sawa kabisa mkuu mie mwenyewe napenda sana kusikia my sukari ananiambia " I love u" hata kama ni 24/24x7 x 364
hii ni kwa sababu mimi nafanya hivo
Sipo!!!! umenichekesha sana duh!! yaani hiyo surprise hata hatojua aanzie wapi we ngoja tu!
Tatizo wengine hatujapata mwenye sifa na maqualifications ya kuambiwa nam loveee kichizi 24/7x364,si unajua hapa mujini uzushi tu mwenye dhahabu anauza dhahabu feki na mlipaji analipia dola feki?
Haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,umegonga penyewe FirstLady!wewe ndo ile song ya Mwana FA unaoa lini bado niponipo kwanza ..bado nipo nipo sana
Muwe mnazisema basi hizo "I love you" mabinti wanakosa raha kama hawazisikii
Muwe mnazisema basi hizo "I love you" mabinti wanakosa raha kama hawazisikii
Babu, yaani mi wa kwangu hata nikiwa nimemboa, atanisema hapoo lakini mwisho ataniambia'but baby i lov u' nitakavyojisikia mbali na kuhakikisha sirudii kosa ni amani na furaha ya hali ya juu. hilo neno lina nguvu ya ajabu bwana sikwambie mtu.Muwe mnazisema basi hizo "I love you" mabinti wanakosa raha kama hawazisikii
mimi leo hata sikumbuki ni lini mara ya mwisho mwenzangu kuniambia I love you!
Mkuu mke wako ukimpa "I love you" in a tender voice. Yaani anakuwa mad bana. Hata kama amekasirika lakini, ukimrudia taratibu halafu ukampa lile busu maridhawa na ka I love you, eheeee wacha tu. Just a three words, short sentence will finish all!!!
Kwanini badala ya kusema I love you sema NAKUPENDA? Hivi ni kweli watu wengi hupenda kusema I love you kuliko Nakupenda?
Pole shosty.
Huyu wangu huniambia 'I love you' only when he is drunk!
kwi kwi kwi kwi.......................