sasa baba wa DNA atakuweka busy vipi? lizzy kuwa makini bana, ujue unaonge na lawyer mstaafu klorokwini. ukichemsha unalala seloHahahaha!Baba nnaechanganya nae DNA!
khaaa! mimi under 18 unaniandikia post la ujauzito kama hili? khaaa!Kumbe mstaafu!Ndo maana hunisomi!Yani tutakua busy kuchanganya DNA zetu tupate kaBABY!
yaani lizzy unanifukuza mbele ya sredi ya mapenzi? where is the love lizzy? eeh!hahahaha!Miujiza...yani umetoka kustaafu mpaka under 18?Haya kalale!
umefaulu mtihani, nitawasiliana na invizibo akuingize katika list yetu magreti thinkaz.Geez Kloro...embu chagua moja!We ni mzee au mtoto?Unataka kupendwa au hutaki?The love is on holiday...will be back nxt year!
Hehehe!Naruhusiwa kupiga gongo kidogo katika harakati za kusherehekea?
Dah jumatatu hii nimekaa ki I love you I love you!!!
Natamani kumwambia mtu na nnatamani kuambiwa nakupenda...nakupenda...nakupenda!!
So popote pale ulipo Mr Prince Charming a.k.a Mr Right I LOOOOOVE YOUUUUUUU!!