I love these ladies; don't you (picha)

Rais aende huko Darfur kuwatembelea wapiganaji wetu hawa. Obama kaenda juzi Afghanistan.
 
Askari Polisi wa Kike kutoka Tanzania Waelekea Dafur Kulinda Amani








My Take



Sasa..kipaumbele ni kipi.. kupokea mipira, baskeli na viatu au kuwaaga mabinti na dada zetu wanaoenda mbali wakiitikia wito wa taifa lao? Yaani hata Waziri hayupo wa kuwapa bendera..? I'm sorry.. I couldn't resist..



Nevertheless, I'm so proud of these daughters of our nation serving in the tradion of many so other women who have served our nation with distinction. You go girls!! Salute!



hapo nlipoweka red hapo ndo pabaya sana, kwelim ikulu kwenda kupokea yeboyebo na mipira na vespa, kweli akutukanaye hakuchagulii tusi, haya mambo mkulu awe anachomoa sometimes so lazma kuuza sura hata kukabidhiwa yebo, wangepeleka kwa machibya morogoro au yule mkuu wa wilaya kilosa! daah, hapa watawala wetu wanatuangusha!
 
Back
Top Bottom