- Thread starter
- #41
asantenjoo Koinange street Nairobi, utawapata chap chap tena wabunge lakini hapa MMU hutopata ng'o. wamejiheshimu na ndoa zao.
asantenjoo Koinange street Nairobi, utawapata chap chap tena wabunge lakini hapa MMU hutopata ng'o. wamejiheshimu na ndoa zao.
sitakufa ila cha moto nakionaNilikua naskia tu kwamba kuna wanawake vicheche ila sijapata ona wala sikia! Maria you have a beauty name, jitunze tu hutakufa pls, halafu inaonekana tayari kuna mtu!
nataka nifanye random sampling tena kwa wasionijua
hapo red ndipo panaponitatiza naogopa nisije uguahutakiwi kumuwazia mabaya mpenzi wako. Ukihisi kusalitiwa utapunguza uaminifu hatimaye wewe ndio utaanza usaliti wakati mwenzio hana hayo mawazo. Halafu magonjwa mengi siku hizi (hapa nimeongea serious kabisa)
wana jf nawasalim
my boyfriend kasafiri na atakuwa ughaibuni kwa miezi kadhaa.nampenda sana na niko tayari kuolewa naye hata mkee wa pili in case atarudi na mke
my problem is this:kaniachia kigari chake (starlet) na hivyo kuniongezea mizunguko isiyokuwa na lazima na tena mpaka usiku, napata mihemko sana na nahisi soon nitateleza na tena naweza jikuta nateleza kwa mkaka wa mtaani kwetu (ofisini haiwezekani 100%)
naweza hivi: Mara mmoja kwa mwezi niwe nakuwa njee ya arusha with mtu ni mtu provided hanijui na hana hata detail yangu yeyote.again how i pick this person note that asiwe mtu wa arusha ili iwe siri kuu
note:the banned marytina yupo arusha, baba mngoni,mama mchagga nitamfikishia ujumbe wowote incase
mmpofue machohe he nichague mimi lol nakuahidi itakuwa siri, Mungu saidia mai wife asipitie hapa
pls sijakusoma
thanks!!!!!!!!!1Go girl, jipe kitu roho inapenda! Ila usisahau condom na dawa just in case mmekuwa rough kidogo!
Wakaka vipi? Mbona waoga hivyo, au ndio kupenda kuwa kwenye leading position!
mficha maradhi kifo humuumbuaunanikera maria! hata baada ya kuwamiminia wanawake sifa kemkem unaniangusha?
nakuapia sijawai toka njee ya mahusianoHili ni fundisho kwa wale wote wanajidai wanapenda sana, kumbe mademu wenyewe mdebwedo kabisa hapo unaweza kukuta jamaa haimbiwi kitu kwa huyu demu tena bora ingekuwa siri duh.
mmmmh!...mwambie mimi niko kigoma,...atanipa hako ka_stalet alikoachiwa lakn?
be blessedLkn Hussy, sasa mwenzio afanyaje na mwili wahitaji? Kuhusu magonjwa si kuna kinga! Tena huoni ameenda extra mile ya kuprotect dignity ya mchumba wake kwa kutafuta a total stranger ambaye he is just a sex machine!
hukunisomasasa kama shida inaletwa na hako ka-baby walker (starlet) alikokuachia,si bora uka-park? yaani kaka wa watu kakuachia katuk tuk kake (kuna watu humu magari ya waume zao wa ndoa hata lifti hawapewi), afu unasingizia kanasababisha mihemko! ww mwanamke wa wapi,u cant control ur feelings.ina maana hata jamaa akikuoa asipate course abroad ya miezi 4,utabaka hboy?! mweh!
Kuna mdada anafanya kazi barrick kahama yaan huja Arusha kudoo ila aliapa hatadoo na mtu wa kahama au mwanza
umenishtuaangalia jamaa asijekuwa na yeye ni memba ukaja kutuomba ushauri bure..
ngoja nione mpaka usiku..
hapo red: yes offcoursesorry maria 1047,am just curious to know this,are you martina of other kind?
mwili una mahitaji mengi na kama tukitaka kutimizia kila hitaji tubaka hadi mende.
Anashindwa nini kuvumilia kwa kipindi hicho na jamaa wa watu kashaonesha anamjali!
Halafu mapenzi hayajaribiwi ati. Tena hao mastrangers ndio wa kuwaogopa kama ukoma.