hundukad
Member
- Jun 26, 2010
- 16
- 1
Wadau habari yenu,
Kama wiki mbili zilizopita nimepoteza laptop yangu aina ya Toshiba Satelite Pro pamoja na modem ya airtel pale CRDB Bank Tawi la Mbezi kwenye parking ya magari.....Laptop siyo issue tatizo data nilizokuwa nimedhihifadhi kwenye hiyo laptop....naomba ushauri police hawangaiki wananiambia hakuna mtuhumiwa hivyo hawana sababu ya kufuatilia...sasa wachache wameniambia nitoe kilio changu hapa JF sintakosa ushauri wa jinsi ya kuipata......
Tafadhali naomba ushauri
:angry:
Kama wiki mbili zilizopita nimepoteza laptop yangu aina ya Toshiba Satelite Pro pamoja na modem ya airtel pale CRDB Bank Tawi la Mbezi kwenye parking ya magari.....Laptop siyo issue tatizo data nilizokuwa nimedhihifadhi kwenye hiyo laptop....naomba ushauri police hawangaiki wananiambia hakuna mtuhumiwa hivyo hawana sababu ya kufuatilia...sasa wachache wameniambia nitoe kilio changu hapa JF sintakosa ushauri wa jinsi ya kuipata......
Tafadhali naomba ushauri
:angry: