I HATE you. . .

klorokwini. . .
Sasa loya mbona wengine hua hawaishi kulalamika? "Ohhh why do you hate me so much?". . ."Why do you have to say that to me?!" wakati wakiambiwa wanapendwa wanachekelea tu.
Lizzy
Wengi wetu tunashindwa kuelewa thamani ya ubinadamu wetu imejificha wapi, maisha yetu yanahitaji kioo na kioo chetu ni binadamu wenzetu. Tukubali ukweli wa kwamba hatukukamilika na tuna kasoro nyingi tu ambazo zinahitaji kuwa pinpointed ili wahusika tupate fursa ya kujitwisha jukumu la kujirekebisha. Kusifiwa bila kuchukiwa ni mteremko na mteremko siku zote huondosha kujiamini na uzoefu wa kukabiliana na shengesha za kilimwengu.

Hilo lilikuwa porojo, jibu langu kwako "asojua maana usimwambie maana ukimwambia maana ataona unamtukana", kama "I hate you" inamkwaza labda mwambie "I don't hate you, though I don't like you either" because of A,B,C e.t.c
labda atakuelewa na kukubali.

Kichwa hakiko vizuri bana kama nimebwabwaja hili post li ignore tu lol
 
Last edited by a moderator:
...Mhhhhh! mie kama maji ya mtungini :):) sijawahi kuambiwa hivyo hata siku moja.

Vaislay
 
Last edited by a moderator:
I hate Lizzy. But am in love with her. Yaani the same way I do to my male biological tool...... Goodmorning watu wa Mungu. Tafazali pendaneni kama Mungu anavyowapenda. Ujumbe huu umeletwa kwenu na ODM kwa hisani ya malaika watakatifu wa mbinguni.
 
. . . .ever been told that?

Kama ambavyo watu hua wanatamani kuambiwa "NAKUPENDA wewe" na kufurahia wanapoambiwa hivyo. . .je ni vipi ikiwa kinyume cha hapo? Ukiambiwa "NAKUCHUKIA wewe" na mzazi wako/mtoto wako/mwenzi wako/ndugu yako/rafiki yako utajisikiaje?
Dah this is the most hurtful word kuliko maelezo hasa ukiambiwa na mtu unayempenda................ sio hilo tu kuna mengine kama,
I am in love with somebody else so i cant be with you anymore
I don't feel you the way i used to
 
Aaa wanawake wengi tu wameisha niambia I hate you, lakini ajabu yenyewe....mimi naona wananipenda kuliko wale wanaosema I love you.
 
Come to think of it; sijawahi kumwambia mtu ninaye mchukia I HATE YOU mara nyingi namuignore; I use that word to a person l love na nikiwa nimechukia, na within a minute or two, he can get 'I love you so very much; and you are the best thing that happen to me'.
Na both times ninamaanisha ninachosema!
 
. . . .ever been told that?

Kama ambavyo watu hua wanatamani kuambiwa "NAKUPENDA wewe" na kufurahia wanapoambiwa hivyo. . .je ni vipi ikiwa kinyume cha hapo? Ukiambiwa "NAKUCHUKIA wewe" na mzazi wako/mtoto wako/mwenzi wako/ndugu yako/rafiki yako utajisikiaje?
Lizzy
Mara nyingi anayekuchukia huwa hakwambii.., ila anayesema I hate you.., inasukumwa na hasira au dissapointment sababu umemuumiza... "The Ones we Love a Lot, are the Ones who Hurts us the Most"....

Hivyo basi mtu akiniambia nakuchukia (lazima nitajiangalia kwamba labda nimemkwaza hadi kufikia hapo) after all hizi ni opposite emotions kwenye same scale.., and there is really a thin line between love and hate (na kama sijafanya kosa nitajua kwamba nikirekebishe vichache naweza ku-turn hate into Love"
 
Last edited by a moderator:
Kwani wewe unafanya mambo yako au unaishi ili uambiwe I love you?

Mbona hiyo ni kawaida tu, waswahili husema "akunyimae kunde akupunguzia mashuzi". Anaekwambia I hate you kakupunguzia makubwa na mengi sana kuliko anaekwambia I love you.
 
klorokwini. . .
Sasa loya mbona wengine hua hawaishi kulalamika? "Ohhh why do you hate me so much?". . ."Why do you have to say that to me?!" wakati wakiambiwa wanapendwa wanachekelea tu.

ni kauli ambazo no one lyks to hear
 
Last edited by a moderator:
Kwani wewe unafanya mambo yako au unaishi ili uambiwe I love you?

Mbona hiyo ni kawaida tu, waswahili husema "akunyimae kunde akupunguzia mashuzi". Anaekwambia I hate you kakupunguzia makubwa na mengi sana kuliko anaekwambia I love you.

bhana weee,una busara wewe!
 
Back
Top Bottom