Bernard Rwebangira
R I P
- Feb 15, 2009
- 99
- 2
Fikilia waenda nchi au mji ambao wapewa tahadhariya usalama wako na mali zako ata kama ni kasimu ka promoshen kariakoo kila unapotaka kutoka nje upate japo upepo au kuona mandhari ya mji, nawe kwa kuofia usalama wako unatii na kwa hakika kila baada ya dinner rafiki yako ni TV ama kitanda,fikilia wakaa siku kadhaa kwa tahadhari kuu namna hiyo ata wahesabu siku za kurudi bongo tulikozoea shida za umeme na maji ata tumekuwa mapacha alafu yanakuja kukukuta pale ambapo wadhani uko salama.
Nimerejea na SAA lakini kwamaumivu makubwa sana, kwani nimeibiwa Laptop yangu,camera na lens kadhaa kwenye ndege ambapo niliakikishiwa na wausika pale O.R Tambo Internatrional Airport, Johannesburg kuwa kila kitu kitakuwa salama mradi nimefunga begi langu, kumbe ni njia tu ya kunilainisha wanichape.
Kwa hali kama hii kuchwapwa vitendeakazi vyangu je nitaipendaje nchi au mji huo? naanzia wapi hasa?
Na je hawa jamaa ndowanatarajia kupokea wageni wa dunia nzima mwezi wasita kwa ajili ya Kombe la Dunia 2010, kwa mtaji huu wengi watalizwa sana, kifupi S.A itarajie aibu katika hili isipochukua hatua sasa.
Joburg is this the way you prepare to receive the world for 2010 World Cup?
Nimerejea na SAA lakini kwamaumivu makubwa sana, kwani nimeibiwa Laptop yangu,camera na lens kadhaa kwenye ndege ambapo niliakikishiwa na wausika pale O.R Tambo Internatrional Airport, Johannesburg kuwa kila kitu kitakuwa salama mradi nimefunga begi langu, kumbe ni njia tu ya kunilainisha wanichape.
Kwa hali kama hii kuchwapwa vitendeakazi vyangu je nitaipendaje nchi au mji huo? naanzia wapi hasa?
Na je hawa jamaa ndowanatarajia kupokea wageni wa dunia nzima mwezi wasita kwa ajili ya Kombe la Dunia 2010, kwa mtaji huu wengi watalizwa sana, kifupi S.A itarajie aibu katika hili isipochukua hatua sasa.
Joburg is this the way you prepare to receive the world for 2010 World Cup?