Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Jamani hebu niambieni nimsaidiaje huyu kiumbe.
Few years ago nilikuwa na boyfriend where we loved each other to death, yeye mwenzangu alikuwa ni mtoto wa mama(familia bora, mboga saba),school international mi nimetokea kule swahili academy a.k.a mtakuja primary school.
After sometimes huyu mwenzangu akawa alcoholic bila ya kwao kujua,na mpaka walivyokuja kujua wakawa wanamuadhibu kwa kumnyima hela za matumizi, kwao walivyoanza kumtenga akaanza kuni abuse flani hivi, i mean nikiwa na hela basi nimpe yote akanywe pombe, nisipompa tunapigana.
siku zikaenda miaka ikapita,alivyomaliza chuo kila akitafutiwa kazi(hawezi kutafuta kazi mwenyewe coz of ulele mama) baada ya muda lazima afukuzwe kwa ajili ya ulevi.
Nikaanza kumchukia huyu kijana,maana akawa ni mlevi wa matapu tapu.
Mungu si asumani wala rajabu, nikafanikiwa kuja ulaya kubeba box hapo ndipo nilipopata nafasi ya ku move on na maisha yangu na kumsahau.
Tatizo ni kwamba anazidi kunisumbua na kila nikijaribu kumwambia abadilike hanielewi, he is about 30 bado yupo yupo tu anaishi na mama, mlevi wa gongo,ana kila aina ya kituko.
Kila nikimwambia mimi na wewe tumemalizana hanielewi, eti anasema nimebadilika sababu nipo ulaya ana beep mchana na usiku.
Now namchukulia kama best friend,nataka kujaribu kumsaidia angalau labda aache pombe.
Nikampa condition kwamba akitaka turudiane basi aache pombe, akakubali, after two month naongea nae, nikamtania kwa kumuuliza"vipi leo haujanywa? alichonijibu ni kwamba eti hana hela,kama vp nimtumie hela ili akapate beer 2.. sasa hii ni akili kweli? alishasahu kwamba aliahidi atabadilika.
i cant change my contacts na nataka awe out of my life forever nafanyaje? nisaidieni jamani.:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
i just hate him
Mzuanda,...hebu rudia kusoma nilipo highlight red & bold.
Am pretty sure you don't mean what you say to him, and to yourself.
Am pretty sure you don't mean what you say to him, and to yourself.
Kwa kuanzia, stop contradicting yourself na huyo kaka na hizo "nataka sitaki!"