Ronaldinho
Member
- Aug 7, 2009
- 69
- 2
macho nimefunguka Waberoya, naninaamini sakata la muro litaibua mengi mazuri aidha kisheria ama kijamii, maaana nimeanza kujua matumizi mwanana wa pingu katika mahaba, hii imenipa hamasa ya mimi kuitafuta ili nikidhi haja....
nataraji jambo moja rate ya wanunuaji wa bidhaa hiyo itaongezeka.
Mkuu hayo matumizi nami nimeyafurahia yanaweza yakawa solution kwa matatizo fulani fulani ya Ndoa.
Hili sakata la muro natamani niuushuhudie mwisho wake kwa kauli thabiti kutika kwa viongozi wetu....lakini nahofia mambo yatakuwa kama stori zingine za EPA,Meremeta n.k