I got to say it..."Tumeuziwa Mbuzi kwenye gunia"

hapa mie nafikiri tuwekane sawa juu ya nini kilichotokea, lakini tukianza hii tabia ya kuanza kususpect tu kila kitu bila ya kuwa na reasonable doubt haitoleta maana yoyote.... kama vipi pia tuwekane sawa kwamba tunapiga tu soga kwenye hii thread, maana hadi sasa hakuna kilichokuwa detailed zaidi ya hisia tu za watu mbaya zaidi hata hivyo hisia zenyewe wamezibaniabania na kutoziweka wazi, yaani tupo deadlocked !
 
Serikali ya Tanzania ndio ilikuwa mwenyeji na madai yaliyopo ni kuwa ililipa dola milioni tatu kuwakaribisha kina Sullivan Tanzania. Mara ya mwisho kwa serikali kuwa mdhamini wa kongamano au warsha ya wawekezaji ni lini? Na mara ya mwisho kulipia kwa hao wawekezaji kuja kufanya mkutano kwetu ni lini?

Nyie tuzugeni tu, mtaona maajabu.. tutaufunua huu mkutano na kuexpose vilivyo nyuma yake
 
Mi nadhani labda kuna watetezi hapa ambao hawaelewi suala hili la kulipa hosting fees na ina-make vipi business sense:
Host country pays 3 million USD - in exchange you have to get a minimum publicity worth 3 million USD. This would mean that like Malaysia did with its 50 years independence, it spent millions to buy ads on CNN and paid for CNN crew to host series of program on Malaysia ditto for Al Jazeera and in a smaller way on BBC.
Let us see what did Tanzania get for 3 million USD? Sijaona ripoti yoyote about it anywhere! The maximum I can expect is a 2 minute mention on Inside Africa on CNN.

Eti mnauliza Tanzania ilipata disadvantage gani kwa kuhost Sullivan Summit?
uh.... let me think.... we are 3 MILLION USD POORER!!!!!!
Hosting fees are paid if it guarantees big time exposure, siyo utumbo kama huu! our tax dollar reserve should not be used to fund the pet project of anyone not even the president!
 
Serikali ya Tanzania ndio ilikuwa mwenyeji na madai yaliyopo ni kuwa ililipa dola milioni tatu kuwakaribisha kina Sullivan Tanzania. Mara ya mwisho kwa serikali kuwa mdhamini wa kongamano au warsha ya wawekezaji ni lini? Na mara ya mwisho kulipia kwa hao wawekezaji kuja kufanya mkutano kwetu ni lini?

Nyie tuzugeni tu, mtaona maajabu.. tutaufunua huu mkutano na kuexpose vilivyo nyuma yake

MwanaKijiji;

Good thought; However we have to dare to do something of these nature... if we don't then we will be left behind...

Lazima tuwe na jeuri ya kujaribu... hata tusemeje when people think of Africa at least 20% will also think about Tanzania...

Sullivan exposure haikuanza kwenye mkutano... ilianza tangu miaka miwili iliyopita... mkutano ilikuwa hitimisho tu... let work up guys...


It is difficult to get immediate return, but in medium term... we will see it ... ila kuhusu mkutano wenyewe nakubali waliokuja walikuwa wabeba mabox.
 
Hili ni soo kuliko soo nyingine zote zilizopita! Mimi nilikuwapo. Mwenye kutaka kujua kilichoendelea anitafute kwa PM.
 
Serikali ya Tanzania ndio ilikuwa mwenyeji na madai yaliyopo ni kuwa ililipa dola milioni tatu kuwakaribisha kina Sullivan Tanzania. Mara ya mwisho kwa serikali kuwa mdhamini wa kongamano au warsha ya wawekezaji ni lini? Na mara ya mwisho kulipia kwa hao wawekezaji kuja kufanya mkutano kwetu ni lini?

Nyie tuzugeni tu, mtaona maajabu.. tutaufunua huu mkutano na kuexpose vilivyo nyuma yake

Mwanakijiji, unaniogopesha sasa, unajua mtu kama wewe ukiwa unafikiri hivyo basi mie nakata tamaa kabisa, kuna mambo ambayo tupo pamoja lakini kwa hili; you 're making me think twice the status of our minds/thinking towards investments and other invents like this. Walio-misuse hiyo opportunity siyo Sullivan foundation, ni sisi VILAZA (waTanzania) ambao hatuko informed how the world is moving now. Watu wamekuletea summit, unataka tena wakuletee pesa; how did you convince them that you are ready for investment? What did you tell them? On the organizers part; how did they advertise the whole issue of sullivan as an investment event? No media coverage, mnaenda Arusha mnapeleka nyama choma; who can buy that? Please MWKJJ haya maneno tunge-discuss kabla ya hii summit sure ingekuwa ya maana lakini kwa sasa too late. Be informed that cities like Cape Town, Hong Kong, New York, Beijing, London, Frankfurt, Paris, Tokyo etc are having events everday; Non stop; who pays for them? And do you know the cost of these events? Learn more; you will discover that we are not informed at all!!
 
Hili ni soo kuliko soo nyingine zote zilizopita! Mimi nilikuwapo. Mwenye kutaka kujua kilichoendelea anitafute kwa PM.

PM kufanya nn tena??Kama unakitu ulicho kiona si unamwaga hapa kwa faida ya yote sasa huko PM utakuwa unamnufaisha nani haswa?
Kama unataka iwe siri PUMBA ulizo ziona kwenye SULLIVAN si ungebaki kimya tu!
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji,
Samahani nilikuwa nje kidogo ya mji, hivi nimerudi na kuyakuta haya!..
Haya ebu nambie kimezuka nini haswa huko Arusha kilichowatoa povu...
Hivi nambieni tunapokwenda New York ktk mikutano ya UN huwa tunategemea kuwepo na biashara gani?...Palestina watapata Uhuru wao kesho yake na Mugabe kuondolewa Urais?...
Na hao Marekani wenyewe huwa wanategemea kitu gani kutokana na mkutano huo within siku za mkutano?... hivi nini maana ya Mkutano, Hapa JF tunapokutana kila siku kuna physical expectation gani?..Kibiashara, kisiasa na kadhalika.
Binafsi naamini ktk elimu ya Biashara, mwenyeji wa jambo lolote lile la kibiashara huwa anachukua nafasi kubwa ya Kujitangaza. Sawa mnasema hawa jamaa hawana kitu ni Matapeli, hivi kwani tumekuwa malaya wa kutafuta bwana mwenye fedha?...Hivi kujiuza kwetu ni lazima iwe kama dangulo! unalipa kwanza.
Biashara siku zote huenda na mteja, pili mwenye nia kununua ama kuuza mali ktk mabadilishano..
Jamani mwee, toka tumepata Uhuru, wazungu hawana biashara na sisi hata siku moja na hawawezi kuwekesha Afrika kwa sababu nyingi sana mojawapo ni kuwa sisi ni Manyani tu hatukawii kubadilika (security), Pili hakuna kitu wanachokihitaji toka kwetu isipokuwa maliasili ambazo hazina haja ya kutangazwa kwani sio Biashara. Afrika wanakuja kuchota tu na security kubwa ni kumwingiza kiongozi mwenyewe mtawala ktk biashara hiyo. Ni wizi mtupu hakuna biashara ikiwa sisi ndio tunaomba misaada.. kwani hatuna tunachoweza kuzalisha.
Pamoja na uhusiano wa karibu na Marekani ulizeni ni biashara gani tunafanya nao hivi sasa!... Wanachukua vinyago, huko Ulaya sijui Maua toka Arusha ambayo yanampa Utajiri mtu mmoja ama watu wasiojaa mkononi. Sio biashara inayotegemewa kitaifa nambieni kitu gani tunazalisha jamani?... hayo mazao yenyewe, kilimo tumekisahau na sijui bajeti ya mwaka huu wametenga kiasi gani!..Hyaa wewe unaambiwa Ukerewe kwetu hakuna hata trekta moja! Kisiwa kizima leo mnaanza kufikiria kuuza au kufanya biashara wakati huna cha kuuza! besides ule ni mkutano wakilisha uwezo wako wa kuzalisha na sio karibu Mgeni mwenyeji apone!

Wee mtu unakwenda ktk mkutano ukitegemea kuuza Maparachichi hii biashara ya kupanga barabarani kweli biashara jamani, kisha mnalalamika ati wageni hawakuleta kitu! Damn walete nini watu wamekuja vinjari, mbona viongozi wetu wanapokwenda USA ktk mikutano hizo shopping zao umewahi kuzisikia?.... na wanatulamba kisawasawa kila mikutano watu huondoka na Ma Vogue. Wenzetu wanajua sisi tunahitaji kitu gani, hujipanga kisawasawa toka vifaa vya kijeshi hadi magari ya viongozi..

Tatizo kubwa la mkutano wa Sullivan ni kwamba Tanzania chini ya Kikwete hatukuwa tumejiandaa kujiuza nje. Ebu nambieni kulikuwa na mabanda mangapi yenye vitu - Made in Tanzania?..Halafu basi kila tulichokuwa tukihitaji toka kwao ni uwekezaji ktk vitu ambavyo hatuna uhakika kibiashara yaani havijafanyiwa Physical study...
Mfano kuna jamaa aliombwa kuja jenga Hotel akauliza kuhusu land na sehemu zipi zipo kwa ajili ya Mahotel ya kitalii na activity gani zaidi zipo maeneo hayo!... Jibu alopewa mahala popote unapotaka kiwanja kinaweza kupatikana!..Maeneo ni mengi tu...WAPI?... Aaaah Tanzania ni kubwa sana ufukwe wa Bahari wote ni mtupu unahitaji mahotel... Duh! ... haya yamekuwa ya kujenga Las Vegas tena.
Sasa wewe kama hujaenda na kibali cha kujenga hotel, huna kiwanja, huna makadirio ya gharama na mapato isipokuwa maelezo toka mdomoni unafikiri nani atakuchukulia serious?...wengine sijui madini lakini hawana hata hekta moja isipokuwa porojo kuwa madini yapo..
Wakuu, nafahamu JF kuna vichwa lakini kama mtashindwa kutenganisha Mkutano na biashara yenyewe na kutokuwa na subira ktk maswala yanayohusiana na mkutano wenyewe basi sidhani kama tutafika..Siamini kabisa kama host tumapata hasara bila mahesabu... Nina hakika wenye Mahotel, taxi, sector za Utalii, Restaurant wamefaidika kwa kiasi kikubwa kama ilivyotegemewa..mengine yote ni baada ya!... Kama mlitegemea misaada zaidi hapo mmekwama kwa sababu Sullivan sio chombo chenye fedha isipokuwa ni chombo kinachowaunganisha watu weusi ktk maswala ambayo tunaweza kufanya biashara. Maamuzi ni ya watu binafsi sio congress.
 
Mkandara! Good to have you on board. Mimi naomba list ya wawekezaji waliokuja hapa katika summit na uweze kunionesha ni jinsi gani watanzania tulivyoshindwa ku-take advantage. Sijamwona mwekezaji hata moja, nimesikia ni wanasiasa tu na ukoo wa Masters. Lakini I stand to be corrected.
This was a sham! Hakuna wawekezaji waliokuja wote ni kupiga blahblah. That's what they should have said, siyo kwamba eti wawekezaji wanakuja. Mjumbe yupi aliikuja kujenga hoteli? Mjumbe yupi alikuja kuulizia concession? Representative wa Ford, Microsoft, Google etc walikuwepo? Je walikuja kuulizia anything au walikuja for Summit of a lifetime ya kutembelea Africa?
Mi nimefuatilia kwa karibu na kuna watu walikuwa wananipa feedback, there was no investor pale. Jesse Jackson - politician, Andy Young - lobbyist na si mwekezaji mpya (ana share Barrick), ditto for Carl Masters, Joy Masters etc. WHERE WERE THE INVESTORS?
Naomba unisaidie kujibu hili swali kwanza kabla hatujawalaumu watanzania ambao they are working hard and were ready to travel thousands of kilometers for business opportunities.
Ukishanisaidia kujibu hilo naomba niwasilishe na swali lingine: je Nigeria ilifaidika vipi na Sullivan Summit iliyofanyika mara mbili nchini kwao?
Sullivan Summit haitambuliwi kimataifa, (it' s not G8 summit hata Miss World inapata publicity kubwa yaidi!) ni mkutano wa kizushi ambayo inahusu Andy na posse yake kutengeneza pesa. Please prove to me where was this summit mentioned internationally? (Zaidi ya pathetic tangazo on CNN African edition)
 
Susuviri,
Kwanza inabidi uelewe nini maana ya Sullivan kabla hujarukia makampuni ambayo hayana nyege na mwanamke malaya!..
Kisha kumbuka kuna makampuni ambayo hujiuza yaani sisi ndio tunatakiwa kuwafata wao na kuuliza masharti yao ya kimkataba.. na sisi tunawaonyesha what we can offer!..
Tatu, tatizo la Mdanganyika ni pale tulnapofikiria kuwa Mkutano huu ni sawa na EXPO festivals...bila kufahamu kwamba huu ni mkutano ambao mtu anajilipia gharama zake kuja sikia What we can Offer! na wao wanaweza vipi kutusaidia na wala sio Tanzania tu bali AFRICA nzima..Sasa wanapofaidika Wakenya mlifikiria kuwa mkutano huu ulituhusu TZ peke yetu?

Tatizo lenu mnaliona kuwa maadam, mkutano huu umefanyika Tanzania basi ni kati ya Tanzania na Marekani.. Unavyoshangaa wewe kuhusu wao ni sawa na wao walivyoshangaa kuhusu wewe. Ulifuata nini pale ikiwa huna unachouza?.. Walikuwepo wengi Kama wewe ambao ukiniuliza mimi nani alikuwepo na IDEA ya kuuza kwao nitasema hakuna, labda kidogo Hotuba ya Kikwete ambayo binafsi niliiona haina mvuto kabisa!.. Ni kilio cha umalaya anayetafuta mchati - nothing serious, zaidi ya hapo ilikuwa watu kukutana na kubadilishana mawazo.
Hao Politicians kina Jesse unafikiri yeye mpumbavu kuja Tanzania Kuonyesha sura yake..Huyo Andrew Young naona kawamaliza kabisa maanake angekuwa mzungu na Lobbyist msingesema kitu lakini ngozi ya tako ni lazima anajipendekeza!
Haya wewe nambie kuna mkutano gani umewahi kuuona ambao ulikuwa na wawekeshaji kama unavyofikiria wewe hao kina Ford, Microsoft na Google! - Toka lini umeona mkutano unaowavuta GM, Microsoft, GE mahala pamoja kuzungumzia uwekeshaji wakati haya makampuni hufuatwa kwa kupigiwa magoti! They make rules za mikataba mkuu kisha ni lazima uwahakikishie BoD na wenye hisa umuhimu wa kuwekesha sehemu hiyo. Hawa na Umalaya wetu si sawa na kumtaka mchati Mfalme!

I mean mkuu zunguza kitu ambacho ni possible na kimewahi tokea!..Binafsi naamini tulichotakiwa kufanya ni sisi kwanza kupanga sehemu ambazo tunahitaji kuwekesha zaidi nchini na pia vitu gani tunavihitaji zaidi toka nje. Kila siku hadithi ni zile zile tumewasikia mkiwaita vijana warudi nyumbani kuja wekesha!..na bila kufikiria sisi tunaitazama vipi Tanzania mnaanza kutoa hukumu kuwa vijana wetu hawataki kurudi nyumbani wakati hakuna maandalizi yoyote yanayohusiana na ujio wao.

Mkuu nabie wewe kweli kijana anayetengeneza 6 figures Marekani kama Lawyer ama daktari utamfuta vipi arudi nyumbani kesho!.. hatufahamu isipokuwa kulalamika tuuu kuwa vijana wetu wamepotea - Tazama waxNigeria na wale waliofanikiwa kurudi nyumbani utakuta ndugu zao na sio serikali wamewajengea upenyo wa kuingia. Na hakuna mtu alorudi Tanzania kubahatisha isipokuwa kuna uhakika wa ku make it laa sivyo basi huyo karudishwa!..
To sale IDEA - Hii ndio biashara iliyokwenda Arusha!
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji,
Samahani nilikuwa nje kidogo ya mji, hivi nimerudi na kuyakuta haya!..
Haya ebu nambie kimezuka nini haswa huko Arusha kilichowatoa povu...
Hivi nambieni tunapokwenda New York ktk mikutano ya UN huwa tunategemea kuwepo na biashara gani?...Palestina watapata Uhuru wao kesho yake na Mugabe kuondolewa Urais?...
Na hao Marekani wenyewe huwa wanategemea kitu gani kutokana na mkutano huo within siku za mkutano?... hivi nini maana ya Mkutano, Hapa JF tunapokutana kila siku kuna physical expectation gani?..Kibiashara, kisiasa na kadhalika.
Binafsi naamini ktk elimu ya Biashara, mwenyeji wa jambo lolote lile la kibiashara huwa anachukua nafasi kubwa ya Kujitangaza. Sawa mnasema hawa jamaa hawana kitu ni Matapeli, hivi kwani tumekuwa malaya wa kutafuta bwana mwenye fedha?...Hivi kujiuza kwetu ni lazima iwe kama dangulo! unalipa kwanza.
Biashara siku zote huenda na mteja, pili mwenye nia kununua ama kuuza mali ktk mabadilishano..
Jamani mwee, toka tumepata Uhuru, wazungu hawana biashara na sisi hata siku moja na hawawezi kuwekesha Afrika kwa sababu nyingi sana mojawapo ni kuwa sisi ni Manyani tu hatukawii kubadilika (security), Pili hakuna kitu wanachokihitaji toka kwetu isipokuwa maliasili ambazo hazina haja ya kutangazwa kwani sio Biashara. Afrika wanakuja kuchota tu na security kubwa ni kumwingiza kiongozi mwenyewe mtawala ktk biashara hiyo. Ni wizi mtupu hakuna biashara ikiwa sisi ndio tunaomba misaada.. kwani hatuna tunachoweza kuzalisha.
Pamoja na uhusiano wa karibu na Marekani ulizeni ni biashara gani tunafanya nao hivi sasa!... Wanachukua vinyago, huko Ulaya sijui Maua toka Arusha ambayo yanampa Utajiri mtu mmoja ama watu wasiojaa mkononi. Sio biashara inayotegemewa kitaifa nambieni kitu gani tunazalisha jamani?... hayo mazao yenyewe, kilimo tumekisahau na sijui bajeti ya mwaka huu wametenga kiasi gani!..Hyaa wewe unaambiwa Ukerewe kwetu hakuna hata trekta moja! Kisiwa kizima leo mnaanza kufikiria kuuza au kufanya biashara wakati huna cha kuuza! besides ule ni mkutano wakilisha uwezo wako wa kuzalisha na sio karibu Mgeni mwenyeji apone!

Wee mtu unakwenda ktk mkutano ukitegemea kuuza Maparachichi hii biashara ya kupanga barabarani kweli biashara jamani, kisha mnalalamika ati wageni hawakuleta kitu! Damn walete nini watu wamekuja vinjari, mbona viongozi wetu wanapokwenda USA ktk mikutano hizo shopping zao umewahi kuzisikia?.... na wanatulamba kisawasawa kila mikutano watu huondoka na Ma Vogue. Wenzetu wanajua sisi tunahitaji kitu gani, hujipanga kisawasawa toka vifaa vya kijeshi hadi magari ya viongozi..

Tatizo kubwa la mkutano wa Sullivan ni kwamba Tanzania chini ya Kikwete hatukuwa tumejiandaa kujiuza nje. Ebu nambieni kulikuwa na mabanda mangapi yenye vitu - Made in Tanzania?..Halafu basi kila tulichokuwa tukihitaji toka kwao ni uwekezaji ktk vitu ambavyo hatuna uhakika kibiashara yaani havijafanyiwa Physical study...
Mfano kuna jamaa aliombwa kuja jenga Hotel akauliza kuhusu land na sehemu zipi zipo kwa ajili ya Mahotel ya kitalii na activity gani zaidi zipo maeneo hayo!... Jibu alopewa mahala popote unapotaka kiwanja kinaweza kupatikana!..Maeneo ni mengi tu...WAPI?... Aaaah Tanzania ni kubwa sana ufukwe wa Bahari wote ni mtupu unahitaji mahotel... Duh! ... haya yamekuwa ya kujenga Las Vegas tena.
Sasa wewe kama hujaenda na kibali cha kujenga hotel, huna kiwanja, huna makadirio ya gharama na mapato isipokuwa maelezo toka mdomoni unafikiri nani atakuchukulia serious?...wengine sijui madini lakini hawana hata hekta moja isipokuwa porojo kuwa madini yapo..
Wakuu, nafahamu JF kuna vichwa lakini kama mtashindwa kutenganisha Mkutano na biashara yenyewe na kutokuwa na subira ktk maswala yanayohusiana na mkutano wenyewe basi sidhani kama tutafika..Siamini kabisa kama host tumapata hasara bila mahesabu... Nina hakika wenye Mahotel, taxi, sector za Utalii, Restaurant wamefaidika kwa kiasi kikubwa kama ilivyotegemewa..mengine yote ni baada ya!... Kama mlitegemea misaada zaidi hapo mmekwama kwa sababu Sullivan sio chombo chenye fedha isipokuwa ni chombo kinachowaunganisha watu weusi ktk maswala ambayo tunaweza kufanya biashara. Maamuzi ni ya watu binafsi sio congress.

i couldnt get tired of reading this ! umesema ukweli mtupu ndani humo !
 
...hahahaha mkuu naelewa, naelewa how you dint get tired of scrolling Mkandara's PR bonanza

mhm, hahaaa... aliyosema ni kweli jamani ! sio mambo ya PR bana, kama hivyo nadhani humu kuna wajuzi wa hiyo PR maana wanaitumia vizuri kweli kweli, na hapo nawapa hongera !
 
Msanii,
Duh mkuu yamekuwa hayo tena!.. haya ndio nilivyo, huamini kile nachosimamia sina ubabaishaji...Ila ni mambo tusiyopenda kuyasikia!
 
Mwanakijiji, unaniogopesha sasa, unajua mtu kama wewe ukiwa unafikiri hivyo basi mie nakata tamaa kabisa, kuna mambo ambayo tupo pamoja lakini kwa hili; you 're making me think twice the status of our minds/thinking towards investments and other invents like this. Walio-misuse hiyo opportunity siyo Sullivan foundation, ni sisi VILAZA (waTanzania) ambao hatuko informed how the world is moving now. Watu wamekuletea summit, unataka tena wakuletee pesa; how did you convince them that you are ready for investment? What did you tell them? On the organizers part; how did they advertise the whole issue of sullivan as an investment event? No media coverage, mnaenda Arusha mnapeleka nyama choma; who can buy that? Please MWKJJ haya maneno tunge-discuss kabla ya hii summit sure ingekuwa ya maana lakini kwa sasa too late. Be informed that cities like Cape Town, Hong Kong, New York, Beijing, London, Frankfurt, Paris, Tokyo etc are having events everday; Non stop; who pays for them? And do you know the cost of these events? Learn more; you will discover that we are not informed at all!!

IO.. by your own words you fundamentally confirming what I'm saying... Huu mkutano jinsi ulivyouzwa kwa Watanzania sivyo ambayo watanzania waliuchukulia. Sasa tunawalaumu Watanzania kwa kutokuelewa wakati ni sisi tumewaimbia wimbo wa "A summit of a lifetime"?

Tatizo langu mimi si katika mkutano kama mkutano au warsha kama warsha (Watanzania tunayo mingi na duniani inafanyika mingi tu) lakini nakuhakikishia maonesho ya Saba Saba na yale ya Trade Fair yanaweza kuwa yanaingiza biashara nyingi kwa watu kuliko "Mkutano" huu wa Sullivan (na hapa sizungumzii tofautii ya muda na idadi ya makampuni tu.

Mkutano wa Sullivan ni kuhusu majina, picha na sura. Mkutano huu ulivyouzwa kwa Watanzania ulikuwa ni kama nafasi ya makampuni ya Kitanzania na hasa Tanzania yenyewe kujuliikana nje ya nchi kwa mkutano mkubwa kabisa kufanyika. Kuna mahali nilisoma wakidai ati ndio mkutano mkubwa wa Kimataifa uliowahi kufanyika Tanzania (kwa watu wasiojua historia yetu wataamini hilo).

Mkutano huu ulitakiwa kuitangaza Tanzania (siyo investment tu); lakini tumeweza kuonesha pasipo shaka hakuna chombo chochote cha Kimataifa na hata website yao wenyewe Sullivan iliyotangaza kilichokuwa kinafanyika, halafu tuweze kusubiri mafanikio baadaye? Kama watu hawajui kinachofanyika nani atachangamkia?

Kama lengo la mkutano lilikuwa ni "kukutana" basi mkutano ulikuwa na mafanikio makubwa sana na hilo hatuna budi kuwapongeza serikali na washiriki wote. Lakini kwa kadiri mambo yatakayoibuka wiki inayokuja mtagundua kuwa JF is daring to go where no one dares to.. tutaonesha pasipo shaka kuwa mkutano huu as a strategic step to publicize Tanzania has been a miserable and noticeable failure.
 
turn table kind of argument! wazee hili suala linahitaji utaalamu wa kibiashara na sio mtu tu yeyote tu yule ! endeeni sasa kuongea wazee ! lakini hii ishu mainly 90% inahusu biashara, now let me see your business skills folks !
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji,
Samahani nilikuwa nje kidogo ya mji, hivi nimerudi na kuyakuta haya!..
Haya ebu nambie kimezuka nini haswa huko Arusha kilichowatoa povu...
Hivi nambieni tunapokwenda New York ktk mikutano ya UN huwa tunategemea kuwepo na biashara gani?...Palestina watapata Uhuru wao kesho yake na Mugabe kuondolewa Urais?...
Na hao Marekani wenyewe huwa wanategemea kitu gani kutokana na mkutano huo within siku za mkutano?... hivi nini maana ya Mkutano, Hapa JF tunapokutana kila siku kuna physical expectation gani?..Kibiashara, kisiasa na kadhalika.
Binafsi naamini ktk elimu ya Biashara, mwenyeji wa jambo lolote lile la kibiashara huwa anachukua nafasi kubwa ya Kujitangaza. Sawa mnasema hawa jamaa hawana kitu ni Matapeli, hivi kwani tumekuwa malaya wa kutafuta bwana mwenye fedha?...Hivi kujiuza kwetu ni lazima iwe kama dangulo! unalipa kwanza.
Biashara siku zote huenda na mteja, pili mwenye nia kununua ama kuuza mali ktk mabadilishano..
Jamani mwee, toka tumepata Uhuru, wazungu hawana biashara na sisi hata siku moja na hawawezi kuwekesha Afrika kwa sababu nyingi sana mojawapo ni kuwa sisi ni Manyani tu hatukawii kubadilika (security), Pili hakuna kitu wanachokihitaji toka kwetu isipokuwa maliasili ambazo hazina haja ya kutangazwa kwani sio Biashara. Afrika wanakuja kuchota tu na security kubwa ni kumwingiza kiongozi mwenyewe mtawala ktk biashara hiyo. Ni wizi mtupu hakuna biashara ikiwa sisi ndio tunaomba misaada.. kwani hatuna tunachoweza kuzalisha.
Pamoja na uhusiano wa karibu na Marekani ulizeni ni biashara gani tunafanya nao hivi sasa!... Wanachukua vinyago, huko Ulaya sijui Maua toka Arusha ambayo yanampa Utajiri mtu mmoja ama watu wasiojaa mkononi. Sio biashara inayotegemewa kitaifa nambieni kitu gani tunazalisha jamani?... hayo mazao yenyewe, kilimo tumekisahau na sijui bajeti ya mwaka huu wametenga kiasi gani!..Hyaa wewe unaambiwa Ukerewe kwetu hakuna hata trekta moja! Kisiwa kizima leo mnaanza kufikiria kuuza au kufanya biashara wakati huna cha kuuza! besides ule ni mkutano wakilisha uwezo wako wa kuzalisha na sio karibu Mgeni mwenyeji apone!

Wee mtu unakwenda ktk mkutano ukitegemea kuuza Maparachichi hii biashara ya kupanga barabarani kweli biashara jamani, kisha mnalalamika ati wageni hawakuleta kitu! Damn walete nini watu wamekuja vinjari, mbona viongozi wetu wanapokwenda USA ktk mikutano hizo shopping zao umewahi kuzisikia?.... na wanatulamba kisawasawa kila mikutano watu huondoka na Ma Vogue. Wenzetu wanajua sisi tunahitaji kitu gani, hujipanga kisawasawa toka vifaa vya kijeshi hadi magari ya viongozi..

Tatizo kubwa la mkutano wa Sullivan ni kwamba Tanzania chini ya Kikwete hatukuwa tumejiandaa kujiuza nje. Ebu nambieni kulikuwa na mabanda mangapi yenye vitu - Made in Tanzania?..Halafu basi kila tulichokuwa tukihitaji toka kwao ni uwekezaji ktk vitu ambavyo hatuna uhakika kibiashara yaani havijafanyiwa Physical study...
Mfano kuna jamaa aliombwa kuja jenga Hotel akauliza kuhusu land na sehemu zipi zipo kwa ajili ya Mahotel ya kitalii na activity gani zaidi zipo maeneo hayo!... Jibu alopewa mahala popote unapotaka kiwanja kinaweza kupatikana!..Maeneo ni mengi tu...WAPI?... Aaaah Tanzania ni kubwa sana ufukwe wa Bahari wote ni mtupu unahitaji mahotel... Duh! ... haya yamekuwa ya kujenga Las Vegas tena.
Sasa wewe kama hujaenda na kibali cha kujenga hotel, huna kiwanja, huna makadirio ya gharama na mapato isipokuwa maelezo toka mdomoni unafikiri nani atakuchukulia serious?...wengine sijui madini lakini hawana hata hekta moja isipokuwa porojo kuwa madini yapo..
Wakuu, nafahamu JF kuna vichwa lakini kama mtashindwa kutenganisha Mkutano na biashara yenyewe na kutokuwa na subira ktk maswala yanayohusiana na mkutano wenyewe basi sidhani kama tutafika..Siamini kabisa kama host tumapata hasara bila mahesabu... Nina hakika wenye Mahotel, taxi, sector za Utalii, Restaurant wamefaidika kwa kiasi kikubwa kama ilivyotegemewa..mengine yote ni baada ya!... Kama mlitegemea misaada zaidi hapo mmekwama kwa sababu Sullivan sio chombo chenye fedha isipokuwa ni chombo kinachowaunganisha watu weusi ktk maswala ambayo tunaweza kufanya biashara. Maamuzi ni ya watu binafsi sio congress.

Mkuu Mkandara
Nguvu na gharama zilizotumia kuwahadaa wachuuzi waende kushiriki maonesho ni kubwa. Unajua wananchi tunaiamini sana serikali, na waandaaji wa mkutano ni serikali, na tukaaminishwa kwamba tushiriki sana ktk kitengo cha booths ina maana waandaaji walijua na wanajua malengo ya kuchukua fees zetu ili kununua mabanda waliyoyaandaa wao. Hivyo mkuu unavyocondem kuwa wachuuzi wetu walivyoingia maboya arusha si haki hata kidogo. Endapo vendors wangelazimisha wao kuwepo pale ingekuwa ni risk-free. lakini kumbuka wameibiwa hela zao walizolipa kwa imani njema tu... Wameibiwa muda wao wa kushiriki mkutano badala yake wamekesha ktk mabanda wakitaraji mauzo....

Kwa nini tunalalamika mkuu??
Ni kwamba hali ya maisha inakuwa ngumu na watanzania walio ktk ajira ni wachache, Inflation inakaza mwendo halafu wengi wamejiajiri kwa pesa za pride, finca nk hivyo wanavyopata hasara ya kulazimishwa siyo kitu cha kubeza wala kukaidi kusikiliza.....
 
Tatizo langu mimi si katika mkutano kama mkutano au warsha kama warsha (Watanzania tunayo mingi na duniani inafanyika mingi tu) lakini nakuhakikishia maonesho ya Saba Saba na yale ya Trade Fair yanaweza kuwa yanaingiza biashara nyingi kwa watu kuliko "Mkutano" huu wa Sullivan (na hapa sizungumzii tofautii ya muda na idadi ya makampuni tu.
Dude angalia vema Mkandara kasema mapema hapa kuwa kwanza watu wajue maana ya The Leon H. Sullivan Summits alafu ndio tujadili.
Sio maonyesho yale huu ni mkutano sasa niambie mlitaka nini hapo?
 
Mwanakijiji,
Tatizo langu mimi si katika mkutano kama mkutano au warsha kama warsha (Watanzania tunayo mingi na duniani inafanyika mingi tu) lakini nakuhakikishia maonesho ya Saba Saba na yale ya Trade Fair yanaweza kuwa yanaingiza biashara nyingi kwa watu kuliko "Mkutano" huu wa Sullivan

Mkuu ukizielewa tofauti za vitu hivi hakuna haja ya kuendeleza mjadala.
Unajua Wadanganyika hata siku moja hawawezi kufikiria nje ya sanduku.. Ni sawa na kumwambia Mbongo kuwa maisha ya Ulaya ni magumu sana na watu hawana fedha kama Bongo!.. hakuna atakaye amini na kama ni ndugu zako watakuona una roho mbaya na unafanya kauzibe.. Siku zote wambie mambo huku mswano yaani nguvu yako utajiri upo... Ukiwa na nguvu utatengeneza 100,000 within 6 month..Sisi tulioshindwa maisha ni uzembe wetu na pengine tunapenda sana kujirusha! hii ndio lugha wanayotaka kuisikia nje ya hapo wewe huna jipya!..
Waache waje wakisha fika huku ndipo ukweli hujitokeza na pale hutafuta mtu wa kumlaumu na sio ndoto zao wenyewe walipokuja Ulaya. Huwezi kuwabadilisha ndoto zao hivyo lazima ufahamu hilo kwanza.
Kwa hiyo nakubali kweli serikali iliwadanganya wananchi lakini sii ndio lugha wanayotaka kuisikia kila siku... USANII?

Msanii,
Mkuu hayakuwa Maonyesho bali Mkutano.
Sisi wenyewe ndio tuliweka madangulo yetu wazi wakati mali zote ni za Ulaya kitu ambacho wao wanakifahamu vizuri..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom