ha ha ha,umenichekesha na neno "mchakato"
ni mchakato ule i see!una hatua kibao!sasa ndo nilikuwa nawaalert mapema kuwa nyie wekeni hesabu hapa,wekeni biology,wekeni civics,wekeni political science wekeni mpka economics siye tunawangoja tu kwenye mchakato ndo tutaanza kukumbushana moja baada ya lingine!mmoja mmoja kwa nafasi yake af kesho asubuhi na mapema mtaanza kuhadithiana kwenye thread itakayo kuwa na titles SORRY FOR BEING RUDE,TUMEKOMA!
haina shida,lakini nyie endeleeni tu asbuhi ntawakumbusha!yoooote mliyoandika hapa!lol!Jambo la muhimu ni kwamba hamsahau,....
Lakini la muhimu zaidi ni kwamba mnasamehe haraka
na mna danganyika kirahisi,...so hamna tatizo.
haina shida,lakini nyie endeleeni tu asbuhi ntawakumbusha!yoooote mliyoandika hapa!lol!
sredi ya SORRY FOR BEING RUDE iko wapi?mbona hujatukumbusha?
sredi ya SORRY FOR BEING RUDE iko wapi?
Sijaiona
aaaaaaaaaaaaaaaaa lazima kisinyae hapo!
aaaaaaaaaaaaaaaaa lazima kisinyae hapo!
utakijua tu siku ukitoa hiyo zawadi af ukapewa hayo majibu!nini tena kisinyae?
hapo utakuwa unataka mengine kupiga gani mwanamke huko?sidhani kama hicho kipigo kitalast baada ya dk 5 kabla ya mchakato!
hapo utakuwa unataka mengine kupiga gani mwanamke huko?sidhani kama hicho kipigo kitalast baada ya dk 5 kabla ya mchakato!