ubaguzi wa aina yoyote ile haufai duniani.
Lakini siku zote najiuliza siku itafika kweli viongozi wetu afrika wajiheshimu na kutuheshimu sisi raia, hatuwezi kutarajia wengine kutuheshimu ikiwa sisi wenyewe hatujiheshimu.
Inatakiwa afrika tujijenge kisha serikali zetu ziwe za kutetea haki, tunaziona nchi nyingine zinavyo pandisha raia wa kwao anapo wahitaji.
Sasa afrika kwanza serikali zetu sisi wenyewe zinatunyayasa, itakuaje tutarijie watu wa nje wasitunyanyase.
Lakini siku zote najiuliza siku itafika kweli viongozi wetu afrika wajiheshimu na kutuheshimu sisi raia, hatuwezi kutarajia wengine kutuheshimu ikiwa sisi wenyewe hatujiheshimu.
Inatakiwa afrika tujijenge kisha serikali zetu ziwe za kutetea haki, tunaziona nchi nyingine zinavyo pandisha raia wa kwao anapo wahitaji.
Sasa afrika kwanza serikali zetu sisi wenyewe zinatunyayasa, itakuaje tutarijie watu wa nje wasitunyanyase.