Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Nadhubutu sema Dr.Lucy Nkya hafai.Hapo alipofikia ni uthibitisho kuwa CCM bado wana mfumo mbovu unaoweza fikisha watu wasio sahihi mahali wasipostahili.Dr. Lucy Nkya kwa historia na maisha anavyoyaendesha hakustahili ongoza chochote zaidi ya Faraja Trust Fund aliyoianzisha.Hata faraja nayo pia Hajaitendea haki.
-Ana shida ya kukubali hali halisi,si honest player.
-Anapenda revenge.
-Haamini sana elimu yake.Pia kaushirikina anakapenda
-Anapenda play a victim.Ni mwepesi kulia pale anapokosea na kukimbia kukabilina na tatizo.Huishia dai kuwa kafanyiwa hujuma .
-Hana siri hata km inahusu watu muhimu na masuala Muhimu.
-Anapenda chochea migogoro na hana uwezo wa kusuluhisha migogoro.
-Hapendi mafanikio ya wengine.(hapendi ya wanawake wenzie, watoto wa wengine na hata ndugu zake).
-Anawaona watu wote wanamchukia na wanahitaji msaada wake.
-Hana uwezo wa kutenganisha Mambo ya familia, mambo yake na ndugu zake, mambo ya office yake ya Faraja Trust Fund na hata chuki zake kwa wanawake wengine waliofanikiwa.Mara nyingi huwezi tofautisha yeye na watoto wake,au wapambe wake ktk utendaji wa kiofisi.
-Anadharau: Kuanzia kwa ndugu zake hata kwa viongozi wa kitaifa, bila kujali vyeo vyao, umri wao na hata msaada waliompatia.
- Kwa vile amekuwa akishughulikia vichaa.basi kila mgonjwa anamwona kwa mtazamo huo.Kwa anayumwa kichwa kutokana na malaria akikutana na huyu mama kuna uwezekano akapewa dawa za vichaa.
-HISTORIA yake ktk utumishi si njema sana,kunzia alivyoacha kazi Hospital ya mkoa, mahusiano yake na kikundi cha wanaoishi na virus vya ukimwi mororogo(WAVUMO) hadi wakajitenga kutoka Faraja Trust Fund baada ya kutokuwa na mahusiano mazuri kifedha na kiutawala.
-HASHAURIKI NA WATU WENYE ELIMU NA UELEWA kwa vile anahofu inayompelekea kuon ni kama ushindani na huchukulia km personal attack.
-ANA MATATIZO MAKUBWA SANA KIFAMILIA,KISAIKOLOGIA NA KIKAZI-Rais kuendelea mwacha ni kuleta shida mbaya zaidi ktk nchi ambayo tayari shida za wananchi ni kubwa,naye kuchanganya shida zake na za raia wenye uchungu ni kujenga tatizo ambalo halijulikani pa kulitatulia.Kati ya wanaomjua huyu mama wanashangaa kumowna bado yupo.Serikali imsaidie fufua office yake aliyoicha muda mrefu nakuwekeza ktk siasa.Naye akubali kuwa siasa za leo si hadithi wapigiwazo masikini wanaoomba chakula, ni siasa zenye changamoto. Km anajisikia vibaya kuwa kawekeza sana na hajapata returns, napenda mkumbusha kuwa ndoto yake ya kuwa waziri(si naibu teh teh) wa afya pia ni km imeshatimia na ni ushindi tosha.Km ataendelea fight ili akawapite wanawake wengine ambao wamekuwa mawaziri for a very long time na si mawaziri wadogo basi atakuwa akijiumiza mwenyewe.Namshauri akamalize matatizo madogomdogo yanayomzunguka ili kujijenga kifikra na kurudisha yale yote yaliyompa heshima miaka ya nyuma.
-Ana shida ya kukubali hali halisi,si honest player.
-Anapenda revenge.
-Haamini sana elimu yake.Pia kaushirikina anakapenda
-Anapenda play a victim.Ni mwepesi kulia pale anapokosea na kukimbia kukabilina na tatizo.Huishia dai kuwa kafanyiwa hujuma .
-Hana siri hata km inahusu watu muhimu na masuala Muhimu.
-Anapenda chochea migogoro na hana uwezo wa kusuluhisha migogoro.
-Hapendi mafanikio ya wengine.(hapendi ya wanawake wenzie, watoto wa wengine na hata ndugu zake).
-Anawaona watu wote wanamchukia na wanahitaji msaada wake.
-Hana uwezo wa kutenganisha Mambo ya familia, mambo yake na ndugu zake, mambo ya office yake ya Faraja Trust Fund na hata chuki zake kwa wanawake wengine waliofanikiwa.Mara nyingi huwezi tofautisha yeye na watoto wake,au wapambe wake ktk utendaji wa kiofisi.
-Anadharau: Kuanzia kwa ndugu zake hata kwa viongozi wa kitaifa, bila kujali vyeo vyao, umri wao na hata msaada waliompatia.
- Kwa vile amekuwa akishughulikia vichaa.basi kila mgonjwa anamwona kwa mtazamo huo.Kwa anayumwa kichwa kutokana na malaria akikutana na huyu mama kuna uwezekano akapewa dawa za vichaa.
-HISTORIA yake ktk utumishi si njema sana,kunzia alivyoacha kazi Hospital ya mkoa, mahusiano yake na kikundi cha wanaoishi na virus vya ukimwi mororogo(WAVUMO) hadi wakajitenga kutoka Faraja Trust Fund baada ya kutokuwa na mahusiano mazuri kifedha na kiutawala.
-HASHAURIKI NA WATU WENYE ELIMU NA UELEWA kwa vile anahofu inayompelekea kuon ni kama ushindani na huchukulia km personal attack.
-ANA MATATIZO MAKUBWA SANA KIFAMILIA,KISAIKOLOGIA NA KIKAZI-Rais kuendelea mwacha ni kuleta shida mbaya zaidi ktk nchi ambayo tayari shida za wananchi ni kubwa,naye kuchanganya shida zake na za raia wenye uchungu ni kujenga tatizo ambalo halijulikani pa kulitatulia.Kati ya wanaomjua huyu mama wanashangaa kumowna bado yupo.Serikali imsaidie fufua office yake aliyoicha muda mrefu nakuwekeza ktk siasa.Naye akubali kuwa siasa za leo si hadithi wapigiwazo masikini wanaoomba chakula, ni siasa zenye changamoto. Km anajisikia vibaya kuwa kawekeza sana na hajapata returns, napenda mkumbusha kuwa ndoto yake ya kuwa waziri(si naibu teh teh) wa afya pia ni km imeshatimia na ni ushindi tosha.Km ataendelea fight ili akawapite wanawake wengine ambao wamekuwa mawaziri for a very long time na si mawaziri wadogo basi atakuwa akijiumiza mwenyewe.Namshauri akamalize matatizo madogomdogo yanayomzunguka ili kujijenga kifikra na kurudisha yale yote yaliyompa heshima miaka ya nyuma.