Kuna watu wanakatisha watanzania tamaa ya kuchagua vyama vya upinzani kwa kusema ati hata kama vikichaguliwa matokeo yatabadilishwa.
Napenda kuwatia moyo, kila mtu aamue kadiri ya utashi wake na si kwa mazoea. Fanya jinsi ambavyo unadhani ni sahihi kwa kumpa kura yako kiongozi unayeona anafaa kutuongoza na si kuidhulimu nafsi yako kwa hofu ya kupindisha matokeo. Chagua yule unaona ni sahihi hayo mengine yawe ni matokeo(Control your sphere of influence and not spheres of concerns);
hebu fikiri iwapo utafanya uamuzi sahihi na matokeo yasipindishwe itakuwa ni furaha ya namna gani?!!! Nawatakia kila la heri na hekima katika kufaya uamuzi katika siku hizi tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Napenda kuwatia moyo, kila mtu aamue kadiri ya utashi wake na si kwa mazoea. Fanya jinsi ambavyo unadhani ni sahihi kwa kumpa kura yako kiongozi unayeona anafaa kutuongoza na si kuidhulimu nafsi yako kwa hofu ya kupindisha matokeo. Chagua yule unaona ni sahihi hayo mengine yawe ni matokeo(Control your sphere of influence and not spheres of concerns);
hebu fikiri iwapo utafanya uamuzi sahihi na matokeo yasipindishwe itakuwa ni furaha ya namna gani?!!! Nawatakia kila la heri na hekima katika kufaya uamuzi katika siku hizi tunapoelekea uchaguzi mkuu.