JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,832
- 14,192
Du nimekuwa naangaria mashindano ya vipaji vya kuimba maarufu kama bongo star search,kwa muda mrefu sasa.vijana wengi wanaoshiriki mashindano haya,huvunjika mioyo wanapokosa nafasi ya kusonga mbele,na wengi wao hufikiri kwamba bila kupitia BSS, basi hawataweza kuingia katika tasinia ya uimbaji,au kuwa wasanii wa bongo fleva na kujikwamua kimaisha,
Nimefanya utafiti kidogo,nimegundua kwamba wana muziki wengi ktk bongo fleva hawakupitia BSS,Na kila siku wapo underground kibao wanaibuka ktk bongo fleva kwa juhudi zao tu,si lazima upite BSS,BSS ni njia mojawapo lakini ukishindwa huko,si mwisho wa dunia
Maana kuna vijana kibao wanashiriki BSS kila mwaka,yupo mmoja ameisha toa single moja,lakini mara hii tena ameshiriki,
Au it is all about money! nawasilisha,think out of the box,
Nimefanya utafiti kidogo,nimegundua kwamba wana muziki wengi ktk bongo fleva hawakupitia BSS,Na kila siku wapo underground kibao wanaibuka ktk bongo fleva kwa juhudi zao tu,si lazima upite BSS,BSS ni njia mojawapo lakini ukishindwa huko,si mwisho wa dunia
Maana kuna vijana kibao wanashiriki BSS kila mwaka,yupo mmoja ameisha toa single moja,lakini mara hii tena ameshiriki,
Au it is all about money! nawasilisha,think out of the box,