mdanganye unataka kumuoa maana wadada kwa ndoa ndio wenyewe
mambo shosti?
hebu ingia kwa chating kule basi?
Najua simpendi, bali nimemtamani.... lakini nataka nifanye naye ...... sitaki kumpa pesa, na sitaki kubaka.... je, nimpateje bila kumwambia "nakupenda"?
Oh you need somebody just to hold youMmmmmh, haya, Utavuna unachopanda lakini.
Kiasi kile kile unachowapimia wenzako ndio hicho hicho na wewe utapimiwa.
Unatamani mabinti wa watu!!
Na wewe una binti/unadhani utakuwa na binti!!
Haya.
mdanganye unataka kumuoa maana wadada kwa ndoa ndio wenyewe
Oh you need somebody just to hold you
If you do, just reach out and I'll be there