I am sorry mabinti wa kichagga

Status
Not open for further replies.
Wasichana waaa kichaga ni matokeo ya milango ya civilization katika taifa hili.wazungu walioleta ustaarabu kwa kupitia elimu walijikita zaidi ktk mkoa wa kilimanjaro.Kwenye watu wastaarabu hakuna mtuialiye bora zaudi kuliko mwingine. Mind u behind any succsessful man is a chaga woman. Utawataka. Wana ari na nia ya maendeleo. wewe hutaki? Basi baki ukiwaogopa. Pole mweeeee!
 
Mtoa mada atakuwa kamtongoza binti wa kichaga halafu kamkatalia kwa hasira kaja kuwaponda mabinti wa much aga humu. Kwanza hiyo research kaifanya lini na wapi? Sisi tunajua kujituma bwana habari ya maji ya kuoga ya mdalasini tumewaachia wasambaa.
Na si ajabu kaoa mchaga lols

Ila ujue nini... Wanatupenda ndiomana wanaona raha kutujadili kila mara humu.

Halafu mti wenye matunda ndio hupigwa mawe sikuzote
 
Mi Mtanzania period! Sifagii ukabila,pamoja kutokuwa wa kabila hilo..napinga ubaguzi wa kila aina - udini, ukabila, na vitu vingine vinavyoashiria ubaguzi... we should transcend vitu kama hivi visivyo na maana yeyote kwa jamii zetu.Tutake tusitake hawa watu tutaendelea kuwa nao no matter how loud we speak against them.
SAFI SANA veracity, umenoga kwa ujumbe huu, ukabila, udini, rangi,na upumbavu mwingine wote katika karne hii, tupa kuleeeeee
 
Na si ajabu kaoa mchaga lols

Ila ujue nini... Wanatupenda ndiomana wanaona raha kutujadili kila mara humu.

Halafu mti wenye matunda ndio hupigwa mawe sikuzote
Yani wanatukubali kimoyo moyo ila roho zao mbaya ndo zinawafanya washindwe kutusifia.
 
Mabinti wa kichaga bomu na hatari..wao wanachojali ni kujinufaisha wenyewe wako selfish sana. Wanakuwa na waume zao kwa sababu za manufaa yao kama kuwapeleka ng'ambo,wakunyang'anye nyumba na mali apeleke kwao etc.na ukiona wanaume wengi waliooa wanawake wa kichaga ni watumwa wa ndoa au mapenzi yao. Wengi walidanganyika na rangi za hawa wamama lakini kwa ujumla hawana malezi wala mafunzo ni bomu..Tumeona na tunaishi nao.....yes i said so!!
Mabinti wa kichaga bomu na hatari..wao wanachojali ni kujinufaisha wenyewe wako selfish sana. Wanakuwa na waume zao kwa sababu za manufaa yao kama kuwapeleka ng'ambo,wakunyang'anye nyumba na mali apeleke kwao etc.na ukiona wanaume wengi waliooa wanawake wa kichaga ni watumwa wa ndoa au mapenzi yao. Wengi walidanganyika na rangi za hawa wamama lakini kwa ujumla hawana malezi wala mafunzo ni bomu..Tumeona na tunaishi nao.....yes i said so!!
Wanawake wa kichaga kweli wanapenda kutumia waume zao, haswa wale wamachame na wamarangu wale bana mwanaume awe na pesa.
Wanawake wa kichaga kweli wanapenda kutumia waume zao, haswa wale wamachame na wamarangu wale bana mwanaume awe na pesa.

Duh, miss chagga kuja hapa.
 
Kuna watu ambao hata mambo physical kabisa wanataka ushahidi...thats hypocricy!.. Wewe unatoka sayari gani usiyejua ukatili wa wanawake wa kichaga, hasa wanaotoka Machame na sehemu zinginezo!Mimi pia nilishaathiriwa na wasichana wa hivyo kabla ya kuoa wa kwetu. Lakini pia niliachwa hoi siku moja msichana wa kimachame aliudhiwa na rafiki yake wa kiume jioni moja, akaamua kuja kwangu kulala bila hata ya kumtongoza, yani tulikuwa tunafahamiana tu mtaani! Uwongo nililala nae, si unajua kwenye ujana nguvu nyingi, na siku hiyohiyo akapata ujauzito. Ni story ndefu, lakini kimsingi ni kwamba baadhi ya wasichana wa kichaga wako HEARTLESS....si jambo la siri!
Nyie kina Preta na Blaki Womani hebu jirekebisheni bhana. Khaaa!
 
Mabinti wa kichaga bomu na hatari..wao wanachojali ni kujinufaisha wenyewe wako selfish sana. Wanakuwa na waume zao kwa sababu za manufaa yao kama kuwapeleka ng'ambo,wakunyang'anye nyumba na mali apeleke kwao etc.na ukiona wanaume wengi waliooa wanawake wa kichaga ni watumwa wa ndoa au mapenzi yao. Wengi walidanganyika na rangi za hawa wamama lakini kwa ujumla hawana malezi wala mafunzo ni bomu..Tumeona na tunaishi nao.....yes i said so!!
Na wewe ni kabila gani mama?
 
Wanawake wa kichaga kweli wanapenda kutumia waume zao, haswa wale wamachame na wamarangu wale bana mwanaume awe na pesa.
We ni kabila gani mpenzi... nami nijaribu bahati yangu.. huezi jua ya shetani
 
Wanawake wa makabila yote ya Tanzania baadhi yao wanafanya haya haya, lakini hawaonekani, lakini ngoja afanye mwanamke wa Kichagga mnaanza kupiga blah blah zenu zisizokuwa na kichwa wala miguu. Hivi katika makabila 120 ya Tanzania wanawake wenye tabia hizi ni Wachagga tu na makabila mengine 119 yaliyobaki wanawake wao hawana tabia kama hizi!? Acheni hizo za kulishambulia kabila la Kichagga kila kukicha.
Bora mkuu umeandika points. Mimi ni mchaga ninamwanamke wa Kinyakyusa anatabia hizo wanazosema ni za wanawake wa kichaga.. Tabia ni ya mtu ku sema wachaga wote tabia ndio hizo siyo haki.
 
Ni ngumu sana kwa Mswahili au Mwanaume asiye Mchagga kumuoa Mwanamke wa kichagga na kuishi kwa amani ndani ya nyumba.

Hii ni kutokana na kujiwekea dhana ya kuwaogopa Wachagga na pia kuwa na mawazo kuwa muda wowote atakuibia au kukufilisi na kupeleka pesa kwao.

Hii imewafanya Vijana wengi sana kuwapenda na kuwa na mahusiano na mabinti wa kichagga ila wakifikia hatua ya kutaka kuoa wanasitisha hilo zoezi na hata wanashauriwa na wazazi wao wasioe Wachagga.

Hili linashangaza sana.
 
Kati ya wachaga wa marangu...wakibosho n.k wapi wanaafadhali mana mpenzi wangu ni wa marangu...sasa nisije baadae nikasema sikujua
Mkuu kwa uzoefu wangu sijaona shida ya wamarangu kabisa ukiacha tu lile la kujiinua na kujiona bora kuliko wachaga na hata binadamu wengine,ila wanafaa kuwaoa. Warombo pia wana nafuu na sio wavivu wa kazi.

Ila kwa Wamachame na Wakibosho inahitaji Moyo sio siri.
 
Mjita hana tofauti na mkurya...msukuma na mmsai wanafiki tu. Mmasai akikusalimia utaskia iiiikoooo kwa upole huku akikung'0ng'a
SIO KWELI...Hakuna jamii inayofaa sana kuoa hapa Afrika Mashariki kama WAMASAI, niulize mimi tatizo lao tu ni ushamba.

Ila KAMWE huwezi kuoa Mmasai pure halafu usikie anajibishana na wewe mume wake au kaweka kikundi cha kukujadili. Tena ukute yule ambayo hajakatwa antenna yake. Hakika utakuwa umepata mke mtamu atakayekuheshimu maisha yako yote.

TAKE THAT FROM ME CHIEF.
 
KWA KWELI WADADA WA KICHAGA NI NOMA..KWANZA NI WAJASIRIAMALI WA MAHUSIANO..Hasa akishaona una Mwelekeo mzuri wa Kimaisha hasa kama unakaribia kuhitimu Chuo Kikuu ANAKUBANA KWELI KWELI Hata Tigo yuko Radhi Kutoa...Atakuganda na kukutegeshea umjaze Mimba na Kwa sisi wa Bara tunavyovutiwa na RANGI NYEUPE NA UZURI basi hatuchelewi kutangaza ndoa...my Wife ni Mchaga but Kuna wakati natamani apate Ajali afe niwe huru...its a TOTAL KERO...A Total Stress
Kwa sasa nimeam ua kufanya kazi mbali na kwangu ili angalau nipate Peace of mind ili niwe napeleka Matumizi tu
Basi kama wewe si Mchaga DON'T Think of Marrying a CHAGA Girl....Acha Waoane Wenyewe

Hahaha nimeipenda hiyo statement kuwa bora afe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom