bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,326
- 6,718
Kwa kweli dada Carmel nakupa hongera kwa kuanika ukweli huo. Mimi mdogo wangu mwenyewe yalimkuta hayo na ilkuwa kero kwa familia nzima. Jamaa alikuwa akimtukana mpaka mama yetu eti anamtafutia wanaume mwanawe na ilihali mama mwenyewe alikuwa mkoa mwengine na wao walikuwa kwengine. Alimradi ilikuwa shida mpaka kaka yetu (mwanajeshi mstaafu) siku moja akaamua kukamata shoka na kumwambia wapigane atakaekufa basi mwengine atabaki nae (yeye au familia). Jamaa alivyoona hivyo ndio akapoa.
Nyinyi munaofagilia wivu wa aina hii, mukasali muombe yasiwafike.
Nyinyi munaofagilia wivu wa aina hii, mukasali muombe yasiwafike.