Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
Hongera sana dada. I am a mother of twin boys aged 15yrs now. Siku nilifanya ultrasound ilikua ni siku ya furaha ambayo sitasahau. Nikushauri utafute dokta bingwa, na hospitali ambayo wako makini. Mimba za twins sometimes ni very complicated. Ninasema kutokana na experience. Mungu akuepushe na kila hatari, na umeweke yeye mbele
Aminaaaaaa kumbe umeshakuwa mama siku hizi?
Hongera sana, msalimie mumeo sana na wanao pia