Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,504
what is the difference btn pregnant and pregnancy?
Are you serious?
what is the difference btn pregnant and pregnancy?
Sasha nakuonea wivu mwaya ila hiongera na MUNGU atakujalia utamaliza salama safari yako.
pregnancy-ni ile hali ya kuwa na mimba(kuwa pregnant),neno linaweza kuwa kivumishi,kwasababu linaelezea nomino.what is the difference btn pregnant and pregnancy?
Sasha nakuonea wivu mwaya
hongera sana,
huku mimi nimepata ka kike , blanca jina lake, my wife amekaleta sayari hii ya tatu juzi.
ntakuja nako huko nyumbani nikimaliza masomo.
Kuna swali nataka kuuliza a while back watu walikuwa wanaongea sasa sijui kama ni kasumba tuu ile.Kuwa eti ukiwa na mimba alafu ukaja kumpenda sana mtu (it doesn't matter mwanamke/mwanaume) wanasema kuwa ukija kujifungua ni kwamba posibility ni kubwa yule mtoto kufanana na yule mtu uliyempenda sana wakati wa mimba (miezi yote 9).
Ni kweli au ni uzushi?.maana kama ndiyo hivyo nampenda sana Brad pit (ina maana twins wangu watafanana naye?).
Vipi unaona wivu? wewe huna? nicheki kwenye PM labda nnaweza kukusaidia
Ah Nyani hupitwi ndugu yangu?
Ninae sema bado mdogo ila natamani tena!! teh teh
Sasha fierce, hongera sana ila usiwaite wanao Kobe na Bryant au Knowles na Kobe...(wink)...!!
Pregnant.... carrying developing offspring within the body.Wakati huu wa pregnant au wakati huu wa pregnancy?
Pregnant.... carrying developing offspring within the body.
Pregnancy.....the condition of being pregnant. Mjuaji wa lugha kosa langu liko wapi hapo?
tsk tsk tsk tsk that is good one! you made me LMFAO tsk tsk tsk
hayo majina yatakuwa middle name lazima nirepresent ila mmoja atakuwa Kobe mwingine sean carter (Jayz)
Hongera sana Sasha. You are lack!! At 4 months pregnancy waweza tambua sex ya mtoto through ultrasound??? Sina uzoefu kwa hili, pengiine Dr. wa JF atusaidie.
Kuna swali nataka kuuliza a while back watu walikuwa wanaongea sasa sijui kama ni kasumba tuu ile.Kuwa eti ukiwa na mimba alafu ukaja kumpenda sana mtu (it doesn't matter mwanamke/mwanaume) wanasema kuwa ukija kujifungua ni kwamba posibility ni kubwa yule mtoto kufanana na yule mtu uliyempenda sana wakati wa mimba (miezi yote 9).
Ni kweli au ni uzushi?.maana kama ndiyo hivyo nampenda sana Brad pit (ina maana twins wangu watafanana naye?).
Hongera sana Sasha. You are lack!! At 4 months pregnancy waweza tambua sex ya mtoto through ultrasound??? Sina uzoefu kwa hili, pengiine Dr. wa JF atusaidie.
Hizo ni Myths tu za wakati wa mimba.Ingekuwa kweli basi mbona ingekuwa kazi!