Hongera sana Kaka,
Kumbuka kuwa, safari moja huanzisha nyingine,
Aluta continua!!
Babu DC!!
Thanx chatminggirlcongrats!
hongera kwa mama na wewe Mudy...
May the Sun of Reality shine on her with the love of God...
Kamanda wa ukweli huwa harudi nyuma aluta continuaAm happy for yopu shem, infact unanitamanisha ............. am looking forward lol a bby gal ofcoz
Congratulations Mkuu.
Is she your first born au aluta continua?
Dear brothers and sisters.
Asalam alaikum.
Since we are one big family I just wanted to drop a line to share good news with you, Alhamdullilah my beautiful wife gave birth to a beautiful little angel (baby gal) today 11hrs.
Thanks and regards,
Mohammed H. Shossi
Congrats sana bro... mshukuru mungu na muombe pia ulinzi zaidi wa malaika huyo na mama
:A S 41:
Am happy for yopu shem, infact unanitamanisha ............. am looking forward lol a bby gal ofcoz
Kama kawa kama dawa mkuu
Mkuu
hongera saana
Nakuombea kwa mwenyezi Mungu
akujalie ili kwa kusirikiana na mama yake
muweze kumpa malezi bora
JF leo mmekuwaje? Yaani wote mmnabusara na kumpa maneno matamu tu Mohd Shossi!
Shehe mi ni mmasai, kwatamaduni zetu naomba unitajie mahali nije nimpose mchumba mapemaa kabla hajawahiwa.
Hongera kwa kunizalia Mchumba yakhee.
Prodigal Son,
Mbona hujamalizia hapo (blue)....NA KUMTAFUTIA WADOGO ZAKE!!!
Babu DC!!
Mkewe akisikia anakupiga manati
unadhani ni raha, tena bado anaugulia?
Una hakika na unayoyasema?
Angenipiga manati kama angekuwa bado yuko labour na Oxytocin inapiga mzigo wake,
Babu DC!!