Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
shikamoo Sikonge.....
Kitambo
mtoto mzuri huamkia wakubwa.
shikamoo Sikonge.....
Kitambo
mtoto mzuri huamkia wakubwa.
Kigoda kizito na sijaona mrithi, meona bora hata nijibabaishe kwa mistari kidogo
Sweetlady ha-disappoint .....anaanza kuwa bingwa kidogo kidogo
Ila inabidi aaanze na mistari ya salaam
Sabahal kheri mpenzi waonaje Hali yako
(malizia hapo)
Niamkie husninyo basi na mimi...mtoto mzuri huamkia wakubwa.
waweza pia kuniamkia
Hali yangu, lahaziz, hali yangu kama yako...waonaje wazazio nyumbani utokeako?...hehehe! Mwanafunzi nimeanza kuelewa!Kigoda kizito na sijaona mrithi, meona bora hata nijibabaishe kwa mistari kidogo
Sweetlady ha-disappoint .....anaanza kuwa bingwa kidogo kidogo
Ila inabidi aaanze na mistari ya salaam
Sabahal kheri mpenzi waonaje Hali yako
(malizia hapo)
Sikonge anasubiri mistari...usimwangushe Gee...lol! (kopi tu hata ile ya jana alimradi...hahahaaa)
Gee najua hajaupenda msosi ndo maana aka sneak mapemaa!
Awanusuru mwenyezi, khofu yao juu yako....husni aendelee.Hali yangu kama yako..............(desh desh)
Wawaonaje wazazi nyumbani utokeako?....(lol...ww umetoka kwenye kigoda)
Hali yangu, lahaziz, hali yangu kama yako...waonaje wazazio nyumbani utokeako?...hehehe! Mwanafunzi nimeanza kuelewa!
Niamkie husninyo basi na mimi...
Sikonge alisoma mazengo karibu na mpwapwa ndo maana memsalimia!
Hali yangu kama yako..............(desh desh)
Wawaonaje wazazi nyumbani utokeako?....(lol...ww umetoka kwenye kigoda)
hahahaaa Gee ile mistari ukipaishwa lazima umwage mi noto kwa misifa! Khaa mapapaa wanafilisika kwa kupaishwa...
Hapana Gee, sikonge bado yupo kijijini analima maembe tumshushie mjomba wa mrisho mpoto, afu siku akija mjini kuuza maembe ndo twamshushia 'Papaaa Sikonge' tumwagiwe hela za mauzo...lolSikonge anataka mistari Kama ile ya twanga pepeta "Papaaa Sikonge" kisha magitaa yanatumbuiza lol
Hahaha...hawajazungumzia juu ya kubadili kigoda kuwa sofa?....
Awanusuru mwenyezi, khofu yao juu yako....husni aendelee.
Makubwaaaaaa!ushawahi kuona bibi anaamkia wajukuu? mwalimu anaamkia wanafunzi?
haya mwamkie na kibibi husninyo.
mtoto mzuri huamkia wakubwa.
Cheka mwaya. Si unajua nchi ishauzwa?...usipocheka utachekwa!SL umenifanya nicheke kweli....
Ebanaeeee! Si mchezo!
Husninyo njoo umalizie kabla Sikonge hajafunga sredi lake na video vyake vya yutyubu!