@Smiling Saint Thank you Mkuu...... Ubarikiwe mbinguni na ardhini.
Hahahaa mzazi SLHii kiboko,sijawahi ona.
Hapa ni uhayani kweli?
Karibu tena na ahsante kwa zawadi.
Ta muganyizi,nashauri mkungu mzima uende kwa nitonye akapikie supu ya mzazi sweetlady.
senk u braza...nilikukosa sana ndugu yangu...nilikua nasubiri umalize kufungua makarabrasha yako nione kama umenisahau?...nimeupenda mguu huo...mm na pacha angu nicas we thank you so MUCH!..
Hahahahaaa ya CUF hapana coz haitofautiani na ya CCMvipi nikutafutie ya cuf?