sssssshhhhhhhhhh acha kumwaga kuku kwenye mchele mwingi.Huyo mpen zi wako ameshachukuliwa na papaa Bishanga na ndo karibia itajibu.
Mh..Nnajuuuuuuuta siku ya jana kwenda Red Light mpaka nikaikosa hii yuziful mada,mkuu wakati ndio sasa karibu baba mi niko kwenye mchakato wa kuvunja ndoa za watu humu,na ujio wako ni changamoto kwangu katika mipangilio yangu kwenye anga za Asprin na bado sielewi sijui nianze kwa mke yupi..??
daddy achana na huyo kibaka, je ushawahi kumwona anakuja hm hata kwa kujipitisha? we ngoja tuje tumwoneshe na picha za haruc na cheti cha ndoa ndo ataamini. thn tutamfungulia mashtaka kwa kunichafulia jina kuwa me mkewe while hana evidence!
usijali hapa nikupambana milele mpaka kitakapo eleweka,sita rudi nyuma
umeumia wewe
hapa ni kwenda mbele haturudi nyuma katu
najua ipo siku maumivu yataisha ntasahau,....hujambo lakin
hahahahah mzima mie....
daddy achana na huyo kibaka, je ushawahi kumwona anakuja hm hata kwa kujipitisha? we ngoja tuje tumwoneshe na picha za haruc na cheti cha ndoa ndo ataamini. thn tutamfungulia mashtaka kwa kunichafulia jina kuwa me mkewe while hana evidence!
mke mwenzangu mtanange ndio umeanza, hebu tukae seats za mbeleeeee, nimemtuma popcorns hubby anakuja nazo.hahahahah mzima mie....
welkam back wakati ndio sasa, lol!