CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Hata mi nakubali wanaume wote mna akili za namna gani, kwa sababu nyie wote mnatamani kwa kuona na ukiamua kuitimiza tamaa na kiu ya nafsi yako, lazima uitimize.
Kwa sababu ni mara nyingi mnafanya mambo ya ajabu kwa wanawake halafu mnasema nitamaa tu zilinishika wala sikuwa na malengo naye!! Hajatukana wala nini. Wanaume THINK and RE-THINK before you take action, don't do only because you can doooo!!
Tatizo sio habari husika tatizo ni ku-generalize kwa kusema WANAUME WANAAKILI GANI coz anatugusa hata sisi tusiohusika, angetakiwa aseme BAADHI YA WANAUME WANA AKILI GANI