he or she?wanamme wanaoa walowazidi elimu na kipato wavulana hawawezi.
Jipime wewe ni mvulana au mwanamme?
he or she?
mimi ni mwanaume bt kuomba ushauri muhimu pia
mimi nna mchumba ambaye kanizidi elimu yeye ana shahada na mimi nna stashahada,wana jf naomba ushuri wenu je?kuna tatizo nikimuoa kwa kuwa amenizidi elimu?
thanx kwa ushauri sister