mvulana kusema nakupenda kwa mschana ni jambo la kawaida, kwa wale wachache wavulana ambao hawawez huwa wanaitwa madomo zege. Sa cjui inakuwaje kwa asilimia kubwa mschana kama amependa huwa ni mzto wa kufunguka kwa huyo alympenda, cjui anahc ktatokea nn kama akisema NAKUPENDA. Binafs naichukia mitego hebu jarbun kubadlika bac muwe kama midume ku expose ur love flng ryt.