yan we klorokwini kila nikiona comment yako lazima nicheke, you are so hilarious man.usiweke komenti zenye hasira namna hii , utarogwa?? juzi niliweka kakomenti kambovu mbaya, jamaa waliniroga. nilipoteza mpaka memori za paswedi ya jf. baada ya maombi makali, nikaikumbuka!!
Mwambie ani-pm.
kama huyo mama hajawahi kufika, amejuaje kuna kufika?
Au ni mzoefu wa kwenda nje ya ndoa?
Huyu anababaisha tu.
atakuwa alifikishwa kabla ya ndoa lakini kwenye ndoa hafiki.ndio maana anajua na anataka afike.msaidieni jamani mbona mnashupalia tu?
Aliishi kwa matumaini ..mara miaka 10 hiyooo imepita.baada ya miaka 10 na watoto wawili juu anaanza kfikiria leo kufika kileleni au zamani jamaa alikuwa anamfikisha sasa afikishwi atuambia ukweli
teh teh teh...labda mtu wa mbeya...oops sorry...amejitahidi 4 10 yrs lkn chiken party yake ndo imeishia hapo, ila mambo kama hayo huwa yapo, kama mwanaume hamwandai mkewe yeye akija ni kupanda tu unategemea nini? mme mtu wa musoma nini?
Ajaribu na kwingine aone (hata houseboy wa jirani siyo mbaya) kwani kitu gani? Unakaaje na mwanaume for 10 years kwenye ndoa kila siku anakojoa yeye tu? Lazima jamaa anatakuwa anakojoa mapema sana ndio maana mkewe hafiki kileleni !!!