Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Katika kitengo chao, huyo ndiye mwembamba...
Hahahaha!!!huyu ana kazi kubwa sana kufunga kamba za viatu vyake
Siyo kuondoa mafuta tu...wanapunguza size tumbo (abdomen) ili kupunguza kiasi cha chakula anachoweza kula kwa mara moja...
Kaka, nikusahihishe kidogo. Nadhani ulimaanisha "stomach". Stomach ndiyo digestive organ iliyopo kwenye abdomen.
Abdomen ndiyo lile eneo katika mwili wa binadamu lililo chini ya kifua na lina organs kadhaa na mojawapo ndiyo "stomach".
Kwa watu walio morbidly obese, wakienda kufanyiwa ile gastric bypass surgery huwa wanapunguziwa size ya hiyo "stomach".
Sasa kwa huyo jombaa hapo, procedure ambayo anaweza kufanyiwa kwenye abdomen ni liposuction ili kuyanyonya hayo mafuta yaliyojikusanya hapo.
Pia anaweza akahitaji cosmetic surgeries kuondoa excessive skin baada ya kupunguza huo uzito wake.
Maskini mkewe!
Mkata majani atakuwa aliishaanza mchakato mapema kabisa..Maskini mkewe!
Pole mama jichekeshe tu kwa huyo mkata majani wenu!!!