Huyu shekh hana haya? mwezi wote huu!!

3.jpg

Mkuu Ndibalema Vipi wewe ? kuvaa Kanzu na Kilemba ndio kumuita Mtu Sheikh? Huko Uarabuni Kuvaa Kanzu na Kilemba ni mavazi yao ya Kiaarabu sio Usheikh hata wewe ukienda Uarabuni utavaa Kanzu na Kilemba sasa Tukuite sheikh Ndibalema?

Kutokaa na hali yao ya hewa kuwa na Joto kali sana wanavaa Kanzu na Kilemba ili kwa ajili ya mwili kupitisha hewa chini ndani huwa wanavaa Mabukta sio chupi mnazo vaa nyinyi Wabongo. Tembea
Ndibalema Mkuu ujionee Mwenyewe mimi nimepita Syria ,Misri kuvaa Kanzu na kilemba ni kitu cha kawaida huku nilipo watu Wanavaa Suti na wanaingia Misikitini ni kitu cha kawaida tu.
 
DUh!kweli wote nyie hapo hamumwelewi Prashant Patel?Huyo ni Prashant Patel wa kamati ya Miss Tanzania!naona watu humu wanabishana bila ushahidi wowote Please Google "Prashanat Patel Tanzania"mtapata picha zake kibao!
 
Jamaa mmoja alinambia anachoshindwa kula ni mawe na chuma tu..!
 
Kaka acha kuudhalilisha uislam...

1. Sio waarabu wote ni waislamu mfano Tariq Aziz wa Iraq alikuwa mgalatia
2. karibu asilimia 80 ya walebanon ni wagalatia
3. Kanzu sio usheikh ni vazi tu la kitamaduni za kiarabu na mashariki ya mbali.

Angalizo:

Muwe mnajua mnachokisema sio kurukia tu maneno kisa unataka kusema utavishwa shanga...

Aliyekwambia Shekh ni lazma awe mwislamu ni nani?
Acha kukariri. hebu angalia maana nyingine za shekh.
Acha umbumbumbu.

Sheikh, also rendered as Sheik, Cheikh, Sjeik, Shaykh, Shaikh, Sheyh, Šeih, Šejh, Şeyh and other variants (Arabic: شيخ‎, shaykh; pl. شيوخ‎ shuyūkh), is a word or honorific term in the Arabic language that literally means "elder". It is commonly used to designate an elder of a tribe, a revered wise man.
 
Tuamke Africans tukiambiwa kuwa akili zetu ni kucheza ngoma kufikiri ni kudogo huwa tunahisi tumesifiwa tafadhalini wafrica wezangu tumepewa akili ili tuweze kuzitumia
Bavaria Wit Non-alcoholic Wheat Beer (0.0%) - 24 x 330ml bottles



bavaria-wheat-beer.jpg


<table width="100%" align="center" border="0" cellpadding="4" cellspacing="0"> <tbody><tr class="cell2"> <td colspan="2"> Brewer's Description:
"Bavaria non-alcoholic beer is the only beer that has 0.0% alcohol. Even so, its taste can be compared to a Pilsener and it has all the characteristics of a good refreshing beer. No other non-alcoholic beer compares to the taste of Bavaria non-alcoholic beer."

</td> </tr> </tbody></table> <table width="100%" align="center" border="0" cellpadding="4" cellspacing="0"><tbody><tr class="cell1"> <td width="40%">Alcohol Content (ABV):</td> <td>0%</td> </tr> <tr class="cell1"> <td width="40%">Calories:</td> <td>
question_mark.jpg
</td> </tr> <tr class="cell1"> <td width="40%">Carbohydrates:</td> <td>
question_mark.jpg
</td> </tr> <tr class="cell1"> <td width="40%">Bitterness (IBU):</td> <td>
question_mark.jpg
</td> </tr> <tr> </tr><tr class="cell1"> <td colspan="2">
</td></tr></tbody></table>

Buckler: Our Favorite Non-Alcoholic Beer (So Far)

We have a

particular reason for craving non-alcoholic beer right now, and this has emerged as a recent favorite...

Wewe usiyefikiria kucheza ngoma unajuaje kuwa hiyo aliyokuwa ameshika ilikuwa ni bavaria isiyo na kilevi! Maana uko so assertive utafikiri ni wewe ulikuwa umekaa next to him!
 
Aliyekwambia Shekh ni lazma awe mwislamu ni nani?
Acha kukariri. hebu angalia maana nyingine za shekh.
Acha umbumbumbu.

Sheikh, also rendered as Sheik, Cheikh, Sjeik, Shaykh, Shaikh, Sheyh, &#352;eih, &#352;ejh, &#350;eyh and other variants (Arabic: &#1588;&#1610;&#1582;&#8206;, shaykh; pl. &#1588;&#1610;&#1608;&#1582;&#8206; shuy&#363;kh), is a word or honorific term in the Arabic language that literally means "elder". It is commonly used to designate an elder of a tribe, a revered wise man.

Ni ngumu kidogo kutofautisha uarabu na uislamu!
 
pengine mkiristo huyo wa uarabuni

Teknolojia ya kutengeneza hiyo mbege ya kizungu imeendelea sana; hiyo anayokunywa huyo ustadhi ni ALCOHOL-FREE!! Samahani wanajanvi nimetoa mchango wangu kabla ya kujua kua mawazo kama haya yametolewa hapo juu namba 28!!
 
Teknolojia ya kutengeneza hiyo mbege ya kizungu imeendelea sana; hiyo anayokunywa huyo ustadhi ni ALCOHOL-FREE!! Samahani wanajanvi nimetoa mchango wangu kabla ya kujua kua mawazo kama haya yametolewa hapo juu namba 28!!

Hiyo ni CASTLE LARGER, tamu hiyo! Maustaadhi kwa ualabu ni wenyewe, baada ya mfungo nenda bar watkuambia mauzo yameongezeka!
 
kanzu na kiemba ni vazi la kiarabu kwahiyo hata wakristo wanavaa.

Mbona Mkuu wa wilaya ambaye siyo mwislam, mtandio ulimdondoka tu, mashehe ubwabwa wakatoa matamko ya kuua mtu eti wameudhalilisha uislamu. kwa hiyo uislamu ni mavazi na siyo imani! Huyo sheikh mjukuu wa mtume anakatamaji kama mambawala haoni noma!
 
Shehe mbona wahamaki? Vazi alilovaa huyu ndugu ni la kiislamu hasa huko kichwani kwake. Waarabu Wakristo huvaa suti mfano wa huyo Tariq Aziz uliyemtaja.

Mheshimiwa Mazingira samahani nikurekebishe. Nimekaa nchi mbili tatu za kiarabu na nimeshuhudia kwa macho yangu waarabu wengi tu wakristu na wanavaa kama huyo mtuhumiwa hapo juu.
 
Kaka acha kuudhalilisha uislam...

1. Sio waarabu wote ni waislamu mfano Tariq Aziz wa Iraq alikuwa mgalatia
2. karibu asilimia 80 ya walebanon ni wagalatia
3. Kanzu sio usheikh ni vazi tu la kitamaduni za kiarabu na mashariki ya mbali.


Angalizo:

Muwe mnajua mnachokisema sio kurukia tu maneno kisa unataka kusema utavishwa shanga...


Lakini pia wa mujibu wa lugha ya kiarabu neno sheikh lina maana ya mtu mzima na sio mtaalam wa dini ya kiislam.
 
mkuu ndibalema vipi wewe ? Kuvaa kanzu na kilemba ndio kumuita mtu sheikh? Huko uarabuni kuvaa kanzu na kilemba ni mavazi yao ya kiaarabu sio usheikh hata wewe ukienda uarabuni utavaa kanzu na kilemba sasa tukuite sheikh ndibalema?

Kutokaa na hali yao ya hewa kuwa na joto kali sana wanavaa kanzu na kilemba ili kwa ajili ya mwili kupitisha hewa chini ndani huwa wanavaa mabukta sio chupi mnazo vaa nyinyi wabongo. Tembea
ndibalema mkuu ujionee mwenyewe mimi nimepita syria ,misri kuvaa kanzu na kilemba ni kitu cha kawaida huku nilipo watu wanavaa suti na wanaingia misikitini ni kitu cha kawaida tu.


kama ilivyo hijab si wislam.
 
Hayo si ndiyo ndugu zetu waislamu wanayaita mavazi ya kiislamu zikiwemo ndevu?......kwa hiyo bil shaka ni muislamu safi au km kuna mtu anabisha aende akamvue lile joho km waislamu hawajaandamana na kusoma takbil


pengine mkiristo huyo wa uarabuni
 
Back
Top Bottom