Huyu Said Juma Nkumba CV yake kumbe iko hivi... Na makelele yote yale Bungeni!

Ehh bana wee, kumbe nyie nanyi wa Msange JKT? Ninamiss sana huko ingawa kulikuwa na kazi ngumu ila ni muda pekee ambao ubongo wangu ulipumzika sana sana.

Namkumbuka JAKATAA, mzee mmoja wa JWTZ alituchezesha kwata siku ya Uhuru wa Tanzania pale Tabora mjini. Enzi hizo tulihamishiwa kambi ya Miyemba na kila siku jioni ni Tabora mjini kutembea na washikaji kadhaa tukiongozwa na Pepo Mkuu.

Sidhani kama Mfalila alishawahi kugombea. Huyu jamaa ni Mbovu sana sana na hafai kabisa kuwa mbunge duniani na hata kuwa mwalimu bado hafai. Alikuwa akishinda kwa kutumia nguvu ya baba yake aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Tabora na kila aliyegombea alipigwa chini. Mfano mzuri ni Joseph Kakunda ambaye ni mzuri sana ila akakutana na nguvu ya baba yake Nkumba akawekwa chini.

Nilikuwa nafikiria niingie kwenye uchaguzi mwaka 2015 ila nilipoona Bunge lenyewe limejaa watu kama LUSINDE nikakata tamaa. Yaani na USIKONGE wangu wote nianze kutukanana na jitu kama Lusinde au Nkumba? Halafu kibaya zaidi mtukanaji kama huyo anakuja kukushinda kwenye uchaguzi kwa kuhonga au ...... Itakuwa aibu sana kwangu.

Pana kijana nilikuwa namtaka aje kugombea kwa Chadema ila sijui kama atakubali. Ni kijana mzuri, msomi mzuri tu na sasa yuko mbioni kumalizia PhD yake. Ila hapa usomi msiuwekee nguvu sana. La muhimu sana alilolifanya huyu dogo ni kozi mbalimbali alizojisomea na kujiweka kwenye sehemu ambayo anaweza kujadiliana na watu wa aina tofauti tofauti katika field nyingi sana duniani. Nimekuwa nikimpa shule sana na busara nyingi za kimaisha na nategemea atasikiliza wito wangu na kugombea.

DSC_8807.JPG


Mwaka jana wakati Sikonge watu wanakufa njaa, Mbunge Wa Jimbo la Sikonge Tabora Saidi Mkumba akimkabidhi Kiongozi wa Bendi ya Msondo ngoma Saidi Mabera Kitata cha Shilingi Laki Tatu kwa ajili ya bendi.
Hiyo ndiyo demokrasia, mwaka 2000 alimpiga chini Jaji Mfalila katika kura za maoni. Ni mzuri sana kwa kuimba kwaya, namkumbuka JKT Msange alikuwa anatuburudisha kila usiku kombania B. Pia alikuwa hodari kukaanga bisi

enzi zile za jakataaa!!!!!!!!!!!!!!!! da nimecheka sana.

huwa najiuliza, mtu akienda kugombea kanafasi fulani, hata mabaya aliyoyatenda akiwa mbali na nyumbani yataibuliwa, wanayatoa wapi wapinzani wake? kumbe ni kupitia social networks kama hizi, sasa leo tumejua mh. alipitia jakuta, na likuwa muimbaji mzuri tena mkaanga bisi
 
elimu ina uhusiano mkubwa na kujenga misingi ya maendeleo. kwa mfano, kwa nini sheria zetu zimekuwa mbovu kiasi kwamba hazitusaidii kuupinga umaskini wa pato la taifa na binafsi? rasilimali tunazo lakini bado HOHE HAHE, wapi tumeanguka?

moja ya sababu ninazo amini kuwa zimetufikisha mahali tulipo, ni kuwa na viongozi ambao elimu hawana, hivyo linapokuja swala la kuchanganua faida na hasira za mambo fulani, wao ni kufuata mkumbo. Ndio wabunge wengi wa CCM, kwani hawana uwezo wa kusoma sheria, na hivyo siku zote wako upande wa serikali ambao kimsingi wamekosea kabisa, lakini wabunge hao wanapitisha sheria hizo ambazo zikianza kutenda kazi ni kilio kitupu

Mnyika, Lissu, majimbo yao yanaweza yasiwe na maendeleo kwa maana ya ujenzi wa barabara, hospital na shule kutokana na fitina za serikali kuu ambao ndio wanaogawa pesa, lakini mchango wao katika kujenga mazingira ya kisheria na kiutendaji ni mkubwa mno.

ukiwa CCM na huna elimu, wanaweza kukuhakikishia bajeti ya kutosha na hivyo kutengeneza barabara za kutosha, lakini kwa habari ya mchango wa kitaifa huna msaada wowote.

na ikumbukwe maendeleo si majengo na barabara, bali ni watu kuishi vizuri kabisa kupitia sera na sheria zake makini.


nakuunga mkono katika hili hasa tukizingatia unyeti wa chombo chenyewe(bunge),hivi kweli mtu kama majimarefu anaweza kuingia kuindani zaidi kwa sheria au miswaada inayoletwa bungeni kwa maslahi ya nchi kama sio kuwa vinara wa kugonga meza
 
WanaJF tuache majungu na chuki binafsi, mbunge msomi kabisa huyu weee. Embu angalieni ya wa mbeya vijijini? Angalieni ya wa Kinondoni. Wengi tu ni wazoefu wa fitina za uchaguzi na ugamba. Shule mchezo ohoooo
 
Chuki tu hizo tena za kishirikina, wewe CV yako imeleta mchango gani kwa taifa? Sana sana ndo huu UKUDA... na uzeeni lazima uwe mchawi tu. Hao tulioona wamesoma tena wana CV nzuri ndo chanzo cha mikataba mibovu na mengi mabaya.
 
Inaelekea kuna makosa mengi kwenye hizi CV za waheshimiwa wetu. Inawezekanaje huyu mbunge kusoma shule ya msingi kwa miaka TISA?
Mkuu, enzi hizo watu walikua wanarudia madarasa na hasa vilaza kama huyu Nkumba.
 
elimu ina uhusiano mkubwa na kujenga misingi ya maendeleo. kwa mfano, kwa nini sheria zetu zimekuwa mbovu kiasi kwamba hazitusaidii kuupinga umaskini wa pato la taifa na binafsi? rasilimali tunazo lakini bado HOHE HAHE, wapi tumeanguka?

moja ya sababu ninazo amini kuwa zimetufikisha mahali tulipo, ni kuwa na viongozi ambao elimu hawana, hivyo linapokuja swala la kuchanganua faida na hasira za mambo fulani, wao ni kufuata mkumbo. Ndio wabunge wengi wa CCM, kwani hawana uwezo wa kusoma sheria, na hivyo siku zote wako upande wa serikali ambao kimsingi wamekosea kabisa, lakini wabunge hao wanapitisha sheria hizo ambazo zikianza kutenda kazi ni kilio kitupu

Mnyika, Lissu, majimbo yao yanaweza yasiwe na maendeleo kwa maana ya ujenzi wa barabara, hospital na shule kutokana na fitina za serikali kuu ambao ndio wanaogawa pesa, lakini mchango wao katika kujenga mazingira ya kisheria na kiutendaji ni mkubwa mno.

ukiwa CCM na huna elimu, wanaweza kukuhakikishia bajeti ya kutosha na hivyo kutengeneza barabara za kutosha, lakini kwa habari ya mchango wa kitaifa huna msaada wowote.

na ikumbukwe maendeleo si majengo na barabara, bali ni watu kuishi vizuri kabisa kupitia sera na sheria zake makini.



Hapo kwenye green mkuu naunga mkono 100%
 
said nkumba mi namjua vizuri tena kiundani kwani yy ni family frend wetu na hata mwanae nimesoma naye anaitwa (Hamis nkumba), achilia mbali elimu ya huyu mbunge but mwanae ni kamanda mpiganaji sana na member wa CDM na mchango wake kwenye chama ni mkubwa sana kwani kipindi cha uchaguzi wa igunga mwaka jana alithubutu kukata kutumiwa na kigogo mkubwa wa CCM kushawishi watu na wanafunzi wenzake waipigie kura CCM japokuwa alihaidiwa zawadi nono so baada ya hapo alijikita ktk ku- influence watu waiunge mkono CDM na kufanikiwa ku-motivate watu wakaipigia kura CDM na kujiunga nayo, hadi leo ukienda kule simbo igunga watu wa pale watakueleza sifa na ushujaa wa yule mtoto wa Said nkumba, pia japo kiumri ana miaka 18 but mawazo yake na hoja zake ni kama mtu mwenye PHD kwani kafanikiwa kuanzisha association ya wanfunzi wa CDM pale igunga na kuleta mchango mkubwa kwenye CDM. MI NINA IMANI NA HUYO MTOTO WA SAID NKUMBA KWANI NI HAZINA YA CHADEMA HUKO MBELE.
Kama kuna mtu atabisha basi anote haya maneno yangu na pindi kijana atakapomaliza masomo ndio mtaamini na kuthamini hiki ninachokiongea leo.
COMFIRMED BY SHARDCOLE AND TIME WILL TELL.
 
elimu ina uhusiano mkubwa na kujenga misingi ya maendeleo. kwa mfano, kwa nini sheria zetu zimekuwa mbovu kiasi kwamba hazitusaidii kuupinga umaskini wa pato la taifa na binafsi? rasilimali tunazo lakini bado HOHE HAHE, wapi tumeanguka?

moja ya sababu ninazo amini kuwa zimetufikisha mahali tulipo, ni kuwa na viongozi ambao elimu hawana, hivyo linapokuja swala la kuchanganua faida na hasira za mambo fulani, wao ni kufuata mkumbo. Ndio wabunge wengi wa CCM, kwani hawana uwezo wa kusoma sheria, na hivyo siku zote wako upande wa serikali ambao kimsingi wamekosea kabisa, lakini wabunge hao wanapitisha sheria hizo ambazo zikianza kutenda kazi ni kilio kitupu

Mnyika, Lissu, majimbo yao yanaweza yasiwe na maendeleo kwa maana ya ujenzi wa barabara, hospital na shule kutokana na fitina za serikali kuu ambao ndio wanaogawa pesa, lakini mchango wao katika kujenga mazingira ya kisheria na kiutendaji ni mkubwa mno.

ukiwa CCM na huna elimu, wanaweza kukuhakikishia bajeti ya kutosha na hivyo kutengeneza barabara za kutosha, lakini kwa habari ya mchango wa kitaifa huna msaada wowote.

na ikumbukwe maendeleo si majengo na barabara, bali ni watu kuishi vizuri kabisa kupitia sera na sheria zake makini.


Kamanda hii ilipaswa apelekewe muungwana akaisome kwani yeye concept yake ya maendeleo ni watu wengi kuwa na magari wakati afya ya wananchi wengi ni duni kutokana na kutokuwa na uwezo wa kulipia matibabu na pia zahanati vijijini hazina dawa; wanafunzi wengi shule za vijijini wanakalia matofali!! Maendeleo ni hali ya watu jinsi wanavyoishi kuwa bora na sio majengo na barabara ambazo haziwasaidii kwani hawana uwezo wa kulipia nauli ya kusafirisha mazo yao na hata wao wenyewe!!
 
Ehh bana wee, kumbe nyie nanyi wa Msange JKT? Ninamiss sana huko ingawa kulikuwa na kazi ngumu ila ni muda pekee ambao ubongo wangu ulipumzika sana sana.

Namkumbuka JAKATAA, mzee mmoja wa JWTZ alituchezesha kwata siku ya Uhuru wa Tanzania pale Tabora mjini. Enzi hizo tulihamishiwa kambi ya Miyemba na kila siku jioni ni Tabora mjini kutembea na washikaji kadhaa tukiongozwa na Pepo Mkuu.

Sidhani kama Mfalila alishawahi kugombea. Huyu jamaa ni Mbovu sana sana na hafai kabisa kuwa mbunge duniani na hata kuwa mwalimu bado hafai. Alikuwa akishinda kwa kutumia nguvu ya baba yake aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Tabora na kila aliyegombea alipigwa chini. Mfano mzuri ni Joseph Kakunda ambaye ni mzuri sana ila akakutana na nguvu ya baba yake Nkumba akawekwa chini.

Nilikuwa nafikiria niingie kwenye uchaguzi mwaka 2015 ila nilipoona Bunge lenyewe limejaa watu kama LUSINDE nikakata tamaa. Yaani na USIKONGE wangu wote nianze kutukanana na jitu kama Lusinde au Nkumba? Halafu kibaya zaidi mtukanaji kama huyo anakuja kukushinda kwenye uchaguzi kwa kuhonga au ...... Itakuwa aibu sana kwangu.

Pana kijana nilikuwa namtaka aje kugombea kwa Chadema ila sijui kama atakubali. Ni kijana mzuri, msomi mzuri tu na sasa yuko mbioni kumalizia PhD yake. Ila hapa usomi msiuwekee nguvu sana. La muhimu sana alilolifanya huyu dogo ni kozi mbalimbali alizojisomea na kujiweka kwenye sehemu ambayo anaweza kujadiliana na watu wa aina tofauti tofauti katika field nyingi sana duniani. Nimekuwa nikimpa shule sana na busara nyingi za kimaisha na nategemea atasikiliza wito wangu na kugombea.

DSC_8807.JPG


Mwaka jana wakati Sikonge watu wanakufa njaa, Mbunge Wa Jimbo la Sikonge Tabora Saidi Mkumba akimkabidhi Kiongozi wa Bendi ya Msondo ngoma Saidi Mabera Kitata cha Shilingi Laki Tatu kwa ajili ya bendi.

heshima kwako mkuu sikonge! Nimekupata sana.
 
Nikweli elimu muhimu sana bt bunge halina kiwango cha elimu zaidi ya kuwa wazalendo na wasema ukweli sokoine hakuwa cv yadarasani lakini bado uongozi wake ni zaidi ya mawaziri wakuu wote wa sasa
 
shule sio kingezo lakini elimu ni muhimu sana hasa katika ulimwengu tulionao leo wa sayansi na technolojia. inawezekana akafaa au asifae maana hawezi kufanya mambo yaliyo kielimu zaidi
 
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1206.jpg
First Name:Said
Middle Name:Juma
Last Name:Nkumba
Member Type:Constituency Member
Constituent:Sikonge
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 9, Sikonge - Tabora
Office Phone:+255 787 770707
Ext.:
Office Fax:-
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/LocationCourse/Degree/AwardStart DateEnd DateLevel
Moshi Technical Secondary SchoolO-Level Education19821985SECONDARY
Isike Primary SchoolPrimary Education19731981PRIMARY
Bunda Teachers' Training CollegeCertificate in Teaching19861988CERTIFICATE
CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No.IssuedExpires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company NamePositionFrom DateTo Date
Secretary General Regional Admin. & Local Govt.Division Secretary20002000
The Parliament of TanzaniaMember - Sikonge Constituency20002015
Ministry of EducationTeacher Grd. III A19882000
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
CCM-Chama Cha MapinduziMember of Parliament2000Todate
CCM-Chama Cha MapinduziMember of National Executive Committee1997Todate
CCM-Chama Cha MapinduziMember of National Executive Council19921997
PUBLICATIONS
DescriptionPublished Date
No items on list
SPECIAL SKILLS
Skill Name or DescriptionYears ExperienceAcquired ThroughSkill Level
No items on list

RECOGNITIONS
Recognition TypeRecognition DateReasonAction TakenIssued by
No items on list


Hivi Sikonge Mbunge wenu ndio mmeona CV yake inatosha hapa?

Sina nia mbaya ila nilijua ana Masters degree.....
Bora yeye kasema ukweli,tafuta ya lukuvi uone!
 
Kama ulidhani ana degree basi anafaa. Kwasababu kilichokufanya udhani bila shaka ni utendaji wake. Wapo maprofesa, kama akina Sarungi, Kapuya lakini hakuna kitu wamesaidia

Nadhani hata serikali iache mtindo wa kuajili watumishi kwakuangalia vyeti ,iwapime kwa uwezo wakufanya mambo kwa ufanisi unaoridhisha kuliko kutumia magamba ya vyeti wakati hawana tija .kama wenzetu ujeruamni hawana upuuzi wa kuangalia cheti chako wao wanataka perfomence yako .
 
Hii dhana kuwa kiongozi mzuri lzm uwe na elimu kubwa tumeitoa wapi?Rais wa zamani wa 33 wa USA Harry Truman alikuwa na elimu ya sekondari lkn aliiongoza vyema USA kuliko hata Ma-Rais wenye madegrees waliopata kushika nafasi hiyo USA!

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza John Major alikuwa na elimu gani?Sikubaliani na hii kuwa elimu ndiyo kiongozi mzuri!Kwetu Kyela Mbunge wetu na PhD ya sheria lkn madudu matupu!

Gbagbo Rais wa zamani wa Ivory coast na u-profesa wake wa Historia si ndiye aliitumbuliza nchi yake kwenye vita vya civil war?
 
rorya profesa aligaragazwa na std 7 leaver kwenye kura za maoni za ccm. kuwakilisha watu ni mpaka wakukubali!

Mganga Maji Marefu alimuangusha Dr Mndolwa kwa kura nyingi kwenye kinyang'anyiro Jimbo la Korogwe vijijini kupitia CCM!
 
nasema hiyo iko powaa tu,kwani maprof wangapi ni wabunge na hakuna kitu muhimu walichokifanya? tena bora hata hao ma grade A wanachangia bungeni kuliko kina msolwa walikuwa bungeni na sijawahi sikia hata sauti yake?

mimi sio ccm wala cdm lakini nasema kuwa mbunge si lazima uwe na madi gree,kuna walio na madegree yao lakini bado bado hawana uwezo wa kuongoza wala kujenga hoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom