Huyu ni nani?

Nilikuwa nataka kuuliza next natural question.. hasa mahusiano yake na Gen. Mboma.. na DRC nadhani connection niliyotaka kuithibitisha nimeishaiona.. Shukrani
 
Huyu jamaa CV yake mbona ni kubwa lakini hajawahi kuandikwa magazetini? au kuwekwa kwenye any website for any reasons?

Labda kama spelling imekosewa, lakini kwa sifa mlizozitaja kuanzia kumiliki vituo mpaka kununua timu, lazima alitakiwa apatikane kwenye internet. Ukitumia google search unalipata JF forum tu, kwenye hii thread ya MKJJ!

If so, then sijajua hiyo report ina nini, ila kutopatikana kwenye media kwa mtu 'prominent' kama yeye is real alarming! Tabia za kutopigwa picha hovyo na kuficha ficha habari zako ni tabia za kigaidi.
 
Waberoya; kuna majina tutakapoanza kuyashusha tunaweza kuitwa wahaini; Hivi hamjajiuliza Balozi wenu mpya kule Burundi ana husiana vipi na huyu jamaa?
 
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:

Merei Balhaboo

Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
Mzee Mwanakijiji, bado watuacha mataa pamoja na data zote zilizoanikwa kuhusu huyu jamaa. "Ripoti muhimu sana", jina moja limeongezwa!..Anyway nadhani subira yavuta kheri, ngoja tuisubiri ripoti hiyo!
 
huyu Jamaa alitoa Gari tatu aina ya Land Rover pale Uwanja wa Jamuhuri pamoja na mafuta ya kampeni ya CCM mkoa wa Morogoro baada ya JK kuhutubia mkutano mkubwa wa kampeni ndani ya uwanja wa Jamuhuri mwaka 2005 mwezi October, kisha akatoa Offer ya mafuta kwa gari hizo tatu kwa msimu wote kwa kampeni hizo nnchi nzima. kifupi ni mfadhili wa CCM.....NAENDELEA KUMKUMBUKA HUYU JAMAA.
 
Huyu jamaa CV yake mbona ni kubwa lakini hajawahi kuandikwa magazetini? au kuwekwa kwenye any website for any reasons?

Labda kama spelling imekosewa, lakini kwa sifa mlizozitaja kuanzia kumiliki vituo mpaka kununua timu, lazima alitakiwa apatikane kwenye internet. Ukitumia google search unalipata JF forum tu, kwenye hii thread ya MKJJ!

If so, then sijajua hiyo report ina nini, ila kutopatikana kwenye media kwa mtu 'prominent' kama yeye is real alarming! Tabia za kutopigwa picha hovyo na kuficha ficha habari zako ni tabia za kigaidi.[/QUOTE]

Siyo kila mtu anapenda misifa kama Reginald Mengi

Na siyo kila asiyopenda kupiga picha, kueleza habari na kuonekana akijitangaza ni Gaidi ni hulka wako wengi watu wema wenye tabia hizo millions

Tabia ya kupenda kuonekana kwenye mitandao, magazetini ni tabia za watu malimbukeni wanaopenda sifa za ziada hata kama wanafanya mambo ya kawaida..ni wa washenzi tu ndio watawasifia

Sikubaliani na conclusion yako
 
Waberoya; kuna majina tutakapoanza kuyashusha tunaweza kuitwa wahaini; Hivi hamjajiuliza Balozi wenu mpya kule Burundi ana husiana vipi na huyu jamaa?

Ndio tunathibitisha kuwa JK huwa anateuaje hawa watu? na je Usalama wa taifa wanafanya nini nchi hii? kushinda bar na kutisha watu kuwa wao usalama wa taifa?
 
Siyo kila mtu anapenda misifa kama Reginald Mengi

Na siyo kila asiyopenda kupiga picha, kueleza habari na kuonekana akijitangaza ni Gaidi ni hulka wako wengi watu wema wenye tabia hizo millions

Tabia ya kupenda kuonekana kwenye mitandao, magazetini ni tabia za watu malimbukeni wanaopenda sifa za ziada hata kama wanafanya mambo ya kawaida..ni wa washenzi tu ndio watawasifia

Sikubaliani na conclusion yako

wakati naandika sikuandika ili mtu akubaliane na mimi,

Mengi anaingiaje hapa?

watu wote wanaoonekana kwenye mitandao, magazetini n.k huwa wanaamua wao wenyewe? Ok, huyo mengi kila picha anasema wampige na kumweka kwenye media? Mtu mpaka ananunua club ya mpira hakuna gazeti lililomwandika?

Dear Tuma, sikujenga conclusion yangu kwa fiction,

''Despite his political rank, and his high status on the FBI's wanted list, not much is publicly known about Omar. Few photos, none of them official, exist of him and a picture used in 2002 by many media, has since been established to be another Taliban official. The authenticity of the existing images is debated''-wikipedia

Huyo si mwingine bali ni Mohammed Omar-''Mtaliban'' AU Mullah Omar, ambaye pamoja na rank yake kubwa (kiongozi wa taliban mpaka kuwa head of state kwa miaka 5! watu hawazijui picha zake

Carlos the Jackal-Kuna picha za kuchorwa na photo zake nyingi zilikuwa zinakisiwa mpaka alipokamatwa.

Omar na Carlos walikuwa hawapendi ujiko ndio maana picha zao hazipatikani??

So, sikusema kufurahisha jamvi, nilisema kwa knowledge yangu ndogo; I may be wrong kwa huyu mtanzania, but still what I was thinking can be valid to some people globally as the case for Mullah and Carlos.


Halafu jaribu kuondoa personal issues unavyojadili mambo at least tukiwa huku 'kwa watu' kwenye jukwaa la intelligence.Fanya kama huoni, ukiwa huku vaa degree yako na hekima yako, tukienda kule bandani kwetu kwenye jukwaa la 'habari mchanganyiko ' vua degree na hekima yako sema utakacho. Maana akili unayo ila unajifanyisha tu, wakati mwingine sitakukumbusha tena , kuwa huku tuko kwa watu, wenyewe wanaita -jamii intelligence.
 
  • Thanks
Reactions: MI6
wakati naandika sikuandika ili mtu akubaliane na mimi,

Mengi anaingiaje hapa?

watu wote wanaoonekana kwenye mitandao, magazetini n.k huwa wanaamua wao wenyewe? Ok, huyo mengi kila picha anasema wampige na kumweka kwenye media? Mtu mpaka ananunua club ya mpira hakuna gazeti lililomwandika?

Dear Tuma, sikujenga conclusion yangu kwa fiction,

''Despite his political rank, and his high status on the FBI's wanted list, not much is publicly known about Omar. Few photos, none of them official, exist of him and a picture used in 2002 by many media, has since been established to be another Taliban official. The authenticity of the existing images is debated''-wikipedia

Huyo si mwingine bali ni Mohammed Omar-''Mtaliban'' AU Mullah Omar, ambaye pamoja na rank yake kubwa (kiongozi wa taliban mpaka kuwa head of state kwa miaka 5! watu hawazijui picha zake

Carlos the Jackal-Kuna picha za kuchorwa na photo zake nyingi zilikuwa zinakisiwa mpaka alipokamatwa.

Omar na Carlos walikuwa hawapendi ujiko ndio maana picha zao hazipatikani??

So, sikusema kufurahisha jamvi, nilisema kwa knowledge yangu ndogo; I may be wrong kwa huyu mtanzania, but still what I was thinking can be valid to some people globally as the case for Mullah and Carlos.


Halafu jaribu kuondoa personal issues unavyojadili mambo at least tukiwa huku 'kwa watu' kwenye jukwaa la intelligence.Fanya kama huoni, ukiwa huku vaa degree yako na hekima yako, tukienda kule bandani kwetu kwenye jukwaa la 'habari mchanganyiko ' vua degree na hekima yako sema utakacho. Maana akili unayo ila unajifanyisha tu, wakati mwingine sitakukumbusha tena , kuwa huku tuko kwa watu, wenyewe wanaita -jamii intelligence.

Wakati unauliza mengi aliingiaje hapa wewe naona umeweka majina ya kina MUlla omar inaonyesha tunaongea lugha moja nayo ni lugha ya mifano..kwa assesment yangu huyo mengi anapenda misifa unaweza usikubaliane nayo sawa tu

Ndiyo maana nilisema sikubaliani na hiyo conclusion if that is to personalize the issue sorry!

Hata huyo Mulla si gaidi ni kiongozi wa heshima kwa nchi yake, lakini hao magaidi (CIA) ndio wamembatiza jina hilo inategemea unatumiaje neno gaidi...mvamizi vs. mvamiwa.

Huyo jamaa kutopenda magazeti ni hulka yake, na hakuna sababu ya kufikiri kwamba wasiopenda misifa na media ni magaidi hiyo conclusion yako ni "misleading" halafu ina promote watu kuwa na kiherehere (ulimbukeni).

Sikubaliana na conclusion yako naweza kuwa right au wrong nothing personal at all (huo muda sina)
 
Nafikiri wafanyabiashara wengine ambao hawategemeu uchumi wao kwa kodi za wananchi moja kwa moja ila biashara zao hatuitaji kuwachokonoa kama kuna tuliowapa dhamana na wanashirikiana nahao wafanyabiashara kutuhujumu tuwashikilie hao wenye dhamana.
 
Wakati unauliza mengi aliingiaje hapa wewe naona umeweka majina ya kina MUlla omar inaonyesha tunaongea lugha moja nayo ni lugha ya mifano..kwa assesment yangu huyo mengi anapenda misifa unaweza usikubaliane nayo sawa tu

Ndiyo maana nilisema sikubaliani na hiyo conclusion if that is to personalize the issue sorry!

Hata huyo Mulla si gaidi ni kiongozi wa heshima kwa nchi yake, lakini hao magaidi (CIA) ndio wamembatiza jina hilo inategemea unatumiaje neno gaidi...mvamizi vs. mvamiwa.

Huyo jamaa kutopenda magazeti ni hulka yake, na hakuna sababu ya kufikiri kwamba wasiopenda misifa na media ni magaidi hiyo conclusion yako ni "misleading" halafu ina promote watu kuwa na kiherehere (ulimbukeni).

Sikubaliana na conclusion yako naweza kuwa right au wrong nothing personal at all (huo muda sina)

Haya nimekuelewa kaka tuendelee na maada yetu...huyu jamaa wewe unamfahamu?I mean Merei Balhaboo??
 
Waberoya; kuna majina tutakapoanza kuyashusha tunaweza kuitwa wahaini; Hivi hamjajiuliza Balozi wenu mpya kule Burundi ana husiana vipi na huyu jamaa?

Nimestuka sana katika hili,inawezekana Merei naye ana nguvu kama ya RA ya kusema kinyamana natake awe waziri wa madini na ikawa kwaajili ya kulinda interest zake? basi nchi hii kuna mambo mazito zaidi ya tujuavyo.
 
Pia Ndugu yake huyo Balhabou ni consul wa comoro nchini Tanznaia


Embassy of the Union Comores in Tanzania
P.O.Box 5999
Dar es Salaam
Tel + 255 22 2602021
Fax +255 22 2602019
Honorary Consul: Mr. Islam A. S. Balhabou
 
Nimestuka sana katika hili,inawezekana Merei naye ana nguvu kama ya RA ya kusema kinyamana natake awe waziri wa madini na ikawa kwaajili ya kulinda interest zake? basi nchi hii kuna mambo mazito zaidi ya tujuavyo.

believe me.. what we see and complain about is just the "tip" of an Icebeg. There is more than what meets the eyes.. Si kuna ule msemo kuwa "avumaye baharini papa.."
 
Huyu ni mfanyabiashara wa mafuta, owner wa TIOT.Hii kampuni ilikuwa mahususi kwa kuuza mafuta Zambia na Congo.Inaaminika mmoja wa shareholders ni Gen. Mboma ingawa siwezi kuthibitisha hilo.Ninachojua walikuwa wanapitishia mafuta bandari ya Tanga na walituhumiwa kutolipia ushuru baadae kampuni hii ikifa natural death.

Nilikuwa nataka kuuliza next natural question.. hasa mahusiano yake na Gen. Mboma.. na DRC nadhani connection niliyotaka kuithibitisha nimeishaiona.. Shukrani

Ndio walikuwa wanadeal na mafuta ya jeshi?

well it depends what is meant by "mafuta yajeshi".. next question.. jeshi gani?

Mkuu, Unaweza kuongeza pia jina la Albert Marwa katika huu mtiririko..wa Mboma, Mafuta, Majeshi nchi za jirani...
 
Back
Top Bottom