jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Weeeeeeeeeeeh! unamtakia nini dem wangu, nakutafuta na panga unieleze vizuri, nyambaffff!Huyu aliekaa kushoto kwako ni nani? Kwa kupunguza ukali wa swali ni kwamba dada huyu alivuma sana hapa bongo miaka ya 2001 hadi 2005.
Wadau,
Habari zenu woote. Najua nitakuwa nimetoka nje ya mada hii lakini sio kwa nia mbaya. Nahitaji msaada wenu. Naomba mnisaidie namna ya Kuwasilisha mada zangu kama ninyi mnavyofanya ktk forum hii, muhimu sana wadau. Asanteni