Huyu ni nani? Abdulhakim Mulla - katika biashara ya Usafirishaji wanyama...

anakitalu cha uwindaji longodo shareholder na zakhia meghji anaranchi king'ori , alikuwa mwanahisa tanzanite one akajitoa wakati flani baada ya kuhusishwa na mtandao wa bin laden anamiliki duka la vito vya thamani glita gems ofisi yake inatazamana na ya mwale , aliuziwa magari ya tawico wanatumia mpk sasa yakiwa na namba su na stg

Superfisadi are you sure mkuu maana hii ni kachumbari yenye pilipili unatupatia hapa tuanze kulia. Hivi hata lini serikali haiachi kuji prove imefeli. Hivi tungekuwa tunatoa marks za performance ya serikali ingekuwa imebaki na marks ngapi tangu mwaka juzi hadi leo?
 
Jamani kwa Afghanistan Mullah si jina ila ni cheo kwa kabila la Pashtun lilalopatikana kusini mashariki mwa Afghanistan na kaskazini magharibi mwa pakstani neno hilo linamaana ya Mwalimu (na hasa hasa mwalimu wa Madrasa) na ndio maana Mohammed Omar aliekuwa mwalimu wa Madrasa alikua akiitwa Mullah Mohammed Omar...na mtu mwengine aliokuwa na cheo kama hicho alikua Mullah Mohammed Gausi...walikuwa wengi wenye cheo hicho hasa katika Serikali ya Taliban ila baadhi nimewasahau..na kwa kumbukumbu tu Taliban pia neno hilo linamaanisha wanafunzi hasa wa madrasa....Ila huku kwetu Mulla ni jina hasa katika kabila la Kisukuma.
 
Name:
Ron Paiz | jrpaiz@yahoo.com


Comment:
My party and I booked a 10-day Cape Buffalo hunt with Usangu Safari's. They promised us the Selous consession, but changed us to the Usangu concession. We paid all of our hunt fees, as well as sent addition trophy money ahead for addition animals. We were told any money not used would be promptly refunded. Two days before our flight to Tanzania, we recieved a call that our hunt was on hold.

We were told that Usangu was not set up to handle our hunting party. To make the story short we were told not to go. A month went by and we tried to get our money back for the cancelled hunt, as well as all the unused trophy fee money thatthey promised would be refunded. Usangu's owner Zahir Mulla has never responded to our requests for a refund. He has not even responded, period! I dont think we will ever see our money, but we plan on taking as much action as we can against Usangu.

I have heard that as many as 40 different hunting parties have also lost their money to Usangu for hunts promised that Usangu Safari's could not deliver. I would offer one word of EXTREME CAUTION to anyone looking to hunt Tanzania. Stay away from USANGU SAFARIS AND ZAHIR MULLA!!!!! If you have any questions, please feel free to contact me at 505-350-0943 or email jrpaiz@yahoo.com



 
<div class="message">Jamani kwa Afghanistan Mullah si jina ila ni cheo kwa kabila la <span class="st">Pashtun lilalopatikana kusini mashariki mwa Afghanistan na kaskazini magharibi mwa pakstani neno hilo linamaana ya Mwalimu (na hasa hasa mwalimu wa Madrasa) na ndio maana Mohammed Omar aliekuwa mwalimu wa Madrasa alikua akiitwa Mullah Mohammed Omar...na mtu mwengine aliokuwa na cheo kama hicho alikua Mullah Mohammed Gausi...walikuwa wengi wenye cheo hicho hasa katika Serikali ya Taliban ila baadhi nimewasahau..na kwa kumbukumbu tu Taliban pia neno hilo linamaanisha wanafunzi hasa wa madrasa....Ila huku kwetu Mulla ni jina hasa katika kabila la Kisukuma.</span><br></div>
 
Mwanakijiji umenitoa Pangoni nina kazi moja muhimu sana ya kesho sijui hata umetokea wapi?

Tafuta Mwenyekiti wa CCM Mbeya mwaka 2005/6 sijui kama bado ndie hadi leo! huyo ni ndugu ila Vituo vya Mafuta jina sitaji leo ndivyo vyake vyote hapa Tanzania.

Pale Singida alijenga Petrol station Barabarani TANROADS na Magufuri walijaa mfukoni siyo kwa pesa la Kwa maagizo ya Juu. Kama unaona Petrol station singida mbele ya Uwanja wa Namfua lile eneo ni open space na ni barabarani nitarudi baadae wewe msubufu sana Mwanakijiji.

Kwa kifupi CCM hisipo ondoka madarakani 2015 itatuletea matatizo maana sitaki kuamini kuwa kampuni ya America ilinunua Dowans kwania nzuri mimi mtu binafsi naona hilo nashangaa kwanini vyombo vyetu vya Usalama hawaoni hilo. Hawa watu wanataka ku-connect dots za watawala wetu hao jamaa na siri nyingi za kishenzi ambazo watawala wetu walifanya na CCM yetu kupitia Dowans lazima sasa watazi connect zote kama kuwa uchi tutakuwa uchi katika uzembe wa vyombo vya usalama kuacha Dowans inunuliwe na hao Jamaa.

Ni aibu sana maana wanajuwa waliyofanya yote kupitia Dowans alafu bado wakaicha kununuliwa bila kujuwa anayeinunua ana nia gani?
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

DAR-ES-SALAAM.

Mheshimiwa,

YAH: MATATIZO KUHUSIANA NA UMILIKAJI WA KIWANDA CHA CHAI
CHA LUPEMBE

Ninayo heshima kukuandikia barua hii kuhusiana na matatizo ya Kiwanda
cha Chai cha Lupembe. Najua siku za nyuma niliwahi kutoa maelezo kama
haya bila maandishi ofisini kwako Dodoma. Vile vile, Serikali ilisitaa
kufanya uamuzi wowote kwa sababu suala hili lilikuwa Mahakamani.

1. Dhumuni la barua:

Kusudi la barua hii ni kuwasilisha kwako matatizo kuhusiana na
umilikaji na uendeshaji wa Kiwanda cha Chai cha Lupembe ambacho kiko
katika Jimbo langu la uchaguzi. Nakuandikia haya kutokana na nafasi
yangu ya Ubunge, yaani mwakilishi wa wananchi wa Jimbo la Njombe
Kaskazini, na hasa, wakulima wanachama wa Chama cha Ushirika wa
Wakulima wa Lupembe, yaani MUVYULU. Mgogoro huu umechukua muda mrefu
tangu TTA ijitoe katika shughuli hizi.

2. Uhusiano kati ya MUVYULU na Kiwanda cha Chai cha Lupembe:

MUVYULU pamoja na Serikali (kupitia Mamlaka ya chai Tanzania, TTA), ni
wamiliki wa Kiwanda cha Chai cha Lupembe (kitaitwa &#8216;Kiwanda" katika
barua hii), ambapo MUVYULU inamiliki asilimia 76 na Serikali asilimia
24.

3. Juhudi za kutafuta mbia/mwekezaji:

Kutokana na sera ya Serikali ya kurekebisha Mashirika ya Umma,
asilimia 24 ya hisa zilizomilikiwa na Serikali katika Kiwanda
zilipaswa kuuzwa kupitia Tume ya Rais ya Kurekebisha Mashirika ya
Umma, yaani PSRC. Ili kutumia utaalamu na uzoefu wa PSRC, MUVYULU nao
walikasimu madaraka kwa PSRC kusudi iwapo atapatikana mbia au
mwekezaji pia auziwe asilimia 46 ya hisa za MUVYULU katika kiwanda
hicho. Kwa hiyo, muundo mpya wa umilikaji wa Kiwanda ungemwezesha Mbia
kuwa na asilimia 70 wakati MUVYULU wangeendelea kumiliki asilimia 30
ya hisa zote katika Kiwanda hicho. Katika hatua zote za kutafuta mbia,
kufanya mapatano na hatimaye kukamilisha mauzo, PSRC ingebeba jukumu
kwa niaba ya MUVYULU. Uteuzi huo uliifanya PSRC kuwa Wakala (yaani
"agent") wa MUVYULU. Kwa vyovyote vile, pamoja na jukumu hilo, pia
PSRC ingebaki na jukumu lake la kisheria chini ya The Public
Corporations Act, 1992 (kama ilivyorekebishwa) la kufanya marekebisho
ya Mashirika ya Umma.

4. Kukodishwa kwa Kiwanda kwa Dhow Mercantile (E.A.) Ltd.: (Baada ya
Tangazo la Kwanza la kumtafuta mbia kushindikana)

PSRC walifanya kila juhudi kumtafuta mbia, ikiwa ni pamoja na
kutangaza katika vyombo mbalimbali. Hata hivyo, wale wote waliokuwa
wameonesha nia ya kuingia ubia katika umilikaji wa kiwanda cha Lupembe
waliojitoa. Ili Kiwanda kisiuzwe kwa hasara, wadau, yaani, MUVYULU,
Wakala wa Chai (Tea Agency), Wizara ya Kilimo na PSRC walikaa na
kufikia uamuzi kwamba Kiwanda hicho kikodishwe kwa kipindi cha miezi
sita sita wakati juhudi za kumtafuta Mbia unaendelea kufanyika.
Kufuatia uamuzi huo Kiwanda kilipangishwa kwa Dhow Mercantile (E.A.)
Ltd. (Wanaitwa "DML" katika barua hii).

5. Kujitokeza kwa DML kama Mbia katika ununuzi wa Kiwanda (Baada ya
Tangazo la mara ya pili):

Baada ya miezi kadhaa, PSRC walitangaza tena kumtafuta Mbia na
Makampuni kadhaa yalijitokeza yakionesha nia ya kuwekeza katika
Kiwanda kwa misingi ya ubia. Kati yao, DML waliibuka washindi, na
kupewa masharti ya ununuzi ikiwa ni pamoja na kumaliza kulipa madeni
ya chai iliyokopwa toka kwa wakulima. Tarehe 8 Desemba, 2001 iliwekwa
kuwa tarehe ya mwisho ya DML kulipa madeni waliyokuwa wanadaiwa
Lupembe

6. DML washindwa kutimiza masharti:

DML walishindwa kutimiza wajibu wao wa kumaliza kulipa madeni kwa muda
uliopangwa na hivyo PSRC waliwaandikia DML barua ya kuwaondoa katika
ushindi wa ubia na kumpa Mshindi wa Pili fursa ya ubia katika Kiwanda.
Haraka haraka, DML walikwenda Mahakamani na kupata Amri ya Zuio la
Muda (an Order of Temporary Injunction) kuzuia PSRC kutimiza kusudio
lake la kuwandosha DML katika ubia wa Kiwanda. Amri hiyo ya Zuio
ilitolewa na Mahakama Kuu (Kitengo cha Biashara) katika Shauri la
Madai Na. 32 la 2002. (yaani "Shauri Kuu").

7. Mwanzo wa hadaa:

Kutokana na Amri ya Zuio (Order of Temporary Injunction), DML
waliendelea kutumia Kiwanda wakati Shauri Kuu likiendelea Mahakamani.
Lakini katika kipindi hicho hicho:-

[a] DML, kupitia Meneja wake Yohana Nyakibari walikopa fedha kutoka
kwa mtu asiyefahamika ili kununulia chai Lupembe.

Ununuzi wa chai ulianza kuwa mzuri na wakulima walianza kulipwa
kwa siku au kwa juma kadri walivyotaka;

[c] Kwa mara ya kwanza, mtu mmoja aitwaye Nawab Mulla alianza
kuonekana Lupembe akijishughulisha na ununuzi wa chai na uendeshaji wa
Kiwanda bila Meneja wa awali (Ndugu Yohana Nyakibari) kuonekana.
Inaelekea ndiko Yohana Nyakibari alikokopa fedha zilizofanya kazi (b)
hapo juu.

[d] Pamoja na hayo juu, na bila shaka kwa msukumo na ushawishi wa
kundi la Bw. Mulla, baadhi ya wananchi waliandika barua kwa PSRC
wakieleza kwamba wangependa DML waendelee kuendesha shughuli za
Kiwanda. Kwa hiyo PSRC, kwa kushirikiana na uongozi wa Mkoa, Wilaya,
Wizara ya Kilimo, Wakala wa Chai pamoja na MUVYULU waliitisha Mkutano
wa Wakulima Lupembe (kijijini Matembwe) ili kupata ufafanuzi wa barua
zao. Baada ya mkutano huo ilipendekezwa kwamba DML waendelee na
shughuli za kiwanda. Hata hivyo, ni muhimu kutaja baadhi ya mambo
yalijitokeza katika mkutano huo:-

(i) Wajumbe wa MUVYULU walikuwa wamekutana siku moja kabla na tayari
walikuwa na Muhtasari wa Mkutano wao wakitaka DML iendelee kuendesha
Kiwanda kwa Sharti kwamba kesi iliyokuwepo Mahakamani (Shauri Kuu)
inafutwa;

(ii) Wakati wa mkutano wananchi walimhoji Yohana Nyakibari wakitaka
kujua Mulla aliyekuwa akipita mashambani na Diwani wa Chadema alikuwa
ana uhalali gani wa kujihusisha na uendeshaji wa Kiwanda na ununuzi wa
Chai kwa kutumia jina la DML? Yohana Nyakibari alijibu kuwa Mulla
alikuwa ni mfanyabiashara mwenzake.


[e] Baada ya Mkutano huo, DML waliendelea na uendeshaji wa Kiwanda na
kufuta Shauri la Madai Na. 32/2002, na PSRC wakasema wanaandaa
mikataba ya mauzo ya Kiwanda ili DML wasaini Hati ya Maelewano
("MoU").

[f] PSRC waliandaa Hati ya Maelewano ("MoU") na kuzipeleka DML.
Matatizo yalijitokeza kama ifuatavyo:

(i) MoU haikupelekwa kwa wala kupokewa na Yohana Nyakibari na badala
yake ilipelekwa kwa na kupokewa na Mulla ambaye Yohana Nyakibari
aliwaambia wananchi wa Lupembe kuwa alikuwa ni mfanyabiashara mwenzake
tu.


(ii) Baada ya (i) Yohana Nyakibari aliwaandikia PSRC kulalamika na
kudai apelekewe MoU. PSRC walijibu kwamba walipeleka Mou kwa Mulla kwa
maelekezo (barua) ya Bwana Moses Maira, wakili wa DML;

(iii) Kufuatana na maelezo ya Yohana Nyakibari, Mulla hakustahili
kupewa MoU kwa niaba ya DML kwa sababu hakuwa Mkurugenzi wa DML.

8. Mgogoro kuhusu Wakurugenzi halali wa DML:

(a) Kutokana na kuwepo kwa mgogoro kuhusiana na Ukurugenzi wa DML,
Yohana Nyakibari alichukua hatua zifuatazo:-

(i) Yohana Nyakibari anadai kuwa alitoa taarifa katika Taasisi ya
Kuzuia Rushwa akidai kwamba iwapo MoU ilitolewa kwa Mulla basi ilikuwa
siyo vinginevyo bali kwa njia za rushwa kwa kuwa katika hatua zote za
Zabuni jina la Mulla halikuwa limewahi kujitokeza.

(ii) Alifungua Shauri Na. 62/2003 katika Mahakama Kuu (Kitengo cha
Biashara) ili Mahakama ichunguze na kutoa uamuzi kwamba Mulla na
mwanae siyo wakurugenzi wa DML. Kesi hii inaendelea hadi sasa.

9. Uamuzi wa Wananchi dhidi ya DML (Tazama Muhtasari wa Kikao chao cha
tarehe 17.03.2003):


Wananchi waling'amua kwamba mgogoro ndani ya DML unatishia amani na
maslahi yao katika Kiwanda. Kwa mtazao wao, DML imegubikwa na migogoro
isiyo na dalili zozote za kuisha. DML si mbia anayeaminika.

Ikumbukwe kuwa, mnamo tarehe 8 Machi, 2003, majira ya saa 6:00 usiku,
kundi la watu walioandaliwa na DML walivamia kiwanda na kuwaumiza
Walinzi wa Kiwanda hicho. Hivi sasa kuna kesi ya jinai katika Mahakama
ya Wilaya, Njombe, inayowakabili wavamizi hao.

Hivyo basi, mnamo tarehe 17 Machi, 2003; wanachama wa MUVYULU
walifanya mkutano na kufikia uamuzi wa kuwataka DML kuwakabidhi
kiwanda. Katika maamuzi yao, pia waliiomba Serikali iwachie Kiwanda
wakiendeshe wao wenyewe. Dr. Kavishe, Mratibu wa PSRC aliwaita Yohana
Nyakibari na Mulla na kuwaambia wazi kwamba MUVYULU hawana imani tena
na DML (Muhtasari wa Mkutano huo umeambatanishwa katika barua hii).

Baada ya uamuzi huo, Mkuu wa Wilaya aliagiza polisi wapelekwe kulinda
Kiwanda cha Lupembe wakati taratibu za kukabidhi Kiwanda zikisubiriwa
kufanyika. Agizo la Mkuu wa Wilaya lilitekelezwa.


Kwa kufuatana na maelezo yake, Yohana Nyakibari alipata habari kuwa
Mulla alikuwa ameandaa kundi la watu ("ma-brushi") wamdhuru.
Alishauriwa aondoke kabla giza halijaingia ili afanye makabidhiano
kesho yake. Kwa hiyo kazi ya kukabidhiana Kiwanda haikufnyika kwa siku
ile.

Kesho yake mchana, wakati Yohana Nyakibari akijiandaa kwenda kukabidhi
kiwanda, alipewa taarifa kwamba Mulla alikuwa amekwenda Mahakamani na
kupata Amri ya Muda ya Zuio (Order of Temporary Injuction) kuzuia
Makabidhiano hayo. Mulla alikuwa amefanya maombi hayo Mahakama Kuu,
(Kitengo cha Biashara) Shauri Na. 42/2003 kwa kutumia jina la DML
(akidai yeye ni Mkurugenzi).

Kwa amri hiyo ya Zuio, DML waliruhusiwa kuendelea na uendeshaji wa
Kiwanda hadi hapo Shauri Na. 42/2003 litakapokwisha.(Tazama Uamuzi
Kiambatisho 2)

10. Makubaliano kati ya PSRC na DML kuhusu Shauri Na. 42/2003

Mnamo tarehe 19 Agosti, 2003, PSRC, bila kushauriana na MUVYULU,
walifanya Makubaliano na DML kumaliza Shauri Na. 42/2003 kwa namna
ambayo ilikazia na kuthibitisha Amri ya Zuio la muda la Mahakama. Kwa
Makubliano hayo, PSRC waliridhia DML wasiingiliwe katika endeshaji wa
Kiwanda hadi hapo taratibu za kuuza Kiwanda zitakapokamilika. Kabla ya
kuandika barua hii, nimetoka PSRC kumwuuliza Dr. Kavishe kwa nini
walifanya kinyume cha matakwa ya wananchi wenye hisa asilimia 76. dr.
Kavishe alijibu kuwa PSRC walitaka Serikali kufanya uamuzi haraka.

11. Maoni, Ushauri na Mapendekezo

Mtiririko wa barua hii unaonesha kwamba:-

(a) DML ina migogoro mikubwa.

(b) DML si mbia wa kuaminika (yaani siyo "credible"), DML imekuwa
ikifanya pingamizi kwa kila linaloamuliwa na wananchi.

(c) Wanachama wa MUVYULU wamepoteza imani katika DML na hawataki DML
anunue hisa zao katika Kiwanda cha Lupembe.

(d) Kutokana na uamuzi wao wa kuiomba Serikali iwasaidie ili kiwanda
hicho wakiendeshe wenyewe, kimsingi MUVYULU imeivua PSRC mamlaka ya
Uwakala wa kuuza hisa zao katika Kiwanda.

(e) Iwapo PSRC wataendelea na kisha kukamilisha na hatua za kuuza hisa
za MUVYULU katika Kiwanda watakuwa wanafanya hivyo kinyume na matakwa
ya MUVYULU.

12. Ombi:

Ombi letu kwako Mheshimiwa Waziri Mkuu ni kukusihi kupitia Kamati
yako uingilie kati ili wananchi (MUVYULU) watendewe haki. Hisa zao
zisiuzwe kinyume na matakwa yao na wasilazimishwe kuwa na mbia ambaye
kwa kila dalili, amethibitika kutoaminika. Kama hivi sasa Wakurugenzi
wako Mahakamani wakipingana kuhusu uhalali wao katika DML. Hivi
Serikali inawakabidhi wananchi kwa nani hasa? Barua zao zinajieleza
wazi.

Ni hatari kuuza Kiwanda kwa DML ambao wana ufa mkubwa katika ngazi za
ukurugenzi na hata miliki. Hawaaminiki kwa vyovyote vile. Mhe. Waziri
Mkuu, kama katika hatua hizi za mwanzo hali ni hii, mambo yatakuwaje
tukiungana? Somo tulilolipata linatosha. Akumulikaye mchana usiku
atakuchoma. Hivi sasa DML wako Mahakamani kwa migogoro ambayo hatima
yake haifahamiki. Siyo salama, kwa Serikali na kwa wananchi
(MUVYULU)kuuza hisa zao kwa mbia ambaye hatima yake ni muujiza. Kwa
kuwa dhumuni la Sheria ya Kurekebisha Mashirika ya Umma ni
kuyarekebisha mashirika haya, haitakuwa sahihi kutumia sheria hiyo
kukidumbukiza Kiwanda mikononi mwa mbia asiyeaminika na anayekabiliwa
na dhoruba ya migogoro.

Kwa uvumilivu tumesubiri haki itendeke kwa kutumia vyombo vyetu vya
sheria, lakini mara nyingi vimechukua muda mrefu kuamua mambo
kisheria. Ni jambo la kusikitisha kuwa wakati mwingine dhuluma
zinafanywa kwa visingizio vya kutumia sheria (Injustice is occasioned
in the name of justice).

Nawasilisha,

MBUNGE NJOMBE KASKAZINI.
 
CCM, TAKUKURU, UwT..wameoza..nina uhakika ukifatilia JF nondo zilizoko hapa basi leo hii kama tungekuwa na uwt kweli kuna vigogo wengi wangekuwa wananyea ndoo...lakini kwa kuwa jukumu lao kubwa kwasasa ni kuhakikisha ccm inashinda basi tuendelee kupiga kelele mpaka yesu atakaporudi...
<br />
<br />
Inauma sana mkuu! Yaani nimefwatilia hii thread tokea mwanzo! Nimepata uchungu mkubwa! We acha tu!
 
Hawa akina mulla wapo wengi kuna mulla ambae anamiliki kampuni ya ndege arabuni kuna mulla mwengine yupo ubena na shamba la chai na kuna mulla wanaomiliki mashamba ya mkonge tanga kupitia kampuni ya tancord. Wote hawa asili yao ni rujewa ambako kuna mulla mwengine ambaye anawadhifa ndani ya chama tawala mbeya.tueleweshane wana jamii huu ni mtandao au?
<br />
<br />
Wote ni kitu kimoja hao, ni kama akina NAHDI wa oilcom.
 
mwanakijiji fungua pandora box lako naamini kuna mengi unayajua kuhusu hawa jamaa tunasubiri hitimisho lako la nguvu katika thread hii



Kuna habari mbalimbali kuhusu huyu bwana hususan hata kuhusiana na wanyama waliotoroshwa na biashara ya wanyama kwa ujumla. Lakini sidhani kama ni miongoni mwa watu waliofikishwa mahakamani... Jina lake liliwahi kutajwa na CNN mwaka 2001 kuhusiana na uuzaji wa Tanzanite SOMA TRANSCRIPT HERE

Lakini pia anahusiana karibu na viongozi wengi tu wa serikali na wenye madaraka na ndani ya chama tawala. What do we know about him and his relations to major gem and wildlife resources...
 
Loh! Bora hata nisingefungua tread hii jamani. Nimeisoma mwanzo mpaka hapa naandika, nilichoambulia ni uchungu usio kifani kwa jinsi nchi inavyotafunwa na hawa mafisi chini ya usimamizi wa Chama Cha Mapinduzi. Inafika wakati natamani kusimama kadamnasi na kuanza kuwahadithia kwa sauti kuu makabwela wenzangu ambao hawajui kinachoendelea hapa nchini na bado wanakipigia kura chama hiki muflisi. Hali ni mbaya mno nchi imeshazama na anayeumia ni wenzangu na mimi tusio na anuwani.
 
Kama vipi tutaifishe tena mali zetu tuendeleze Ujamaa wa Hayati Mwalimu??!! Mie naona ubepari tulioukumbatia ni wizi mtupu kila mtu analalamika, hadi sasa watu wanashindana kupora rasilimali na kibaya zaidi hawawekezi nyumbani bali wanaficha akiba zao nje!
 
Usangu Safaris Tanzania Trophies To Be Released



In Tanzania, there are scores of hunters who never received their trophies from Zahir Mulla of Usangu Safaris. Continuing subscribers know we have been following the problems with Usangu over the last few years. During the 2007 safari season, we received a rash of complaints from hunters - some on their SAT phone while still in the field - about the way their hunts were being conducted.

Others sent written complaints about delays with trophy shipments and problems with refunds for trophies that were never shot. Eventually, the problems were so bad and the complaints abundant enough that Safari Club International sanctioned Zahir Mulla and banned him and anyone else associated with Usangu Safaris from the convention or other SCI events and programs. That ban extended to Abdul Mulla, Zahir's brother, who had left the company due to a familial dispute. Abdul Mulla had gone on his own, creating the company Francolin Safaris.

Usangu Safaris stopped operating last year when its Usangu Flats concession, the only concession it had left, was absorbed into a national park. In the meantime, Abdul Mulla has been struggling to disassociate himself from Usangu and his brother's problems.

This rather long re-mention of Usangu Safari's woes, is a roundabout way of telling you that all those trophies from past Usangu clients finally are to be released. According to Abdul Mulla, he has negotiated a deal with the Tanzanian government to unite those trophies with the hunters who shot them. To do that, he says he is personally ponying up the money to pay for the trophy fees his brother never paid. Why is he willing to do this? Because he wants to clear his name of the fiasco and get back into SCI's good graces and of course the annual convention.

In order to get the trophies released, Abdul will need copies of paid invoices showing hunting dates and trophies taken from hunters who never received their trophies. Any copies of hunting licenses would be helpful too.
 
Usangu Safaris Tanzania Trophies To Be Released





In Tanzania, there are scores of hunters who never received their trophies from Zahir Mulla of Usangu Safaris. Continuing subscribers know we have been following the problems with Usangu over the last few years. During the 2007 safari season, we received a rash of complaints from hunters - some on their SAT phone while still in the field - about the way their hunts were being conducted.

Others sent written complaints about delays with trophy shipments and problems with refunds for trophies that were never shot. Eventually, the problems were so bad and the complaints abundant enough that Safari Club International sanctioned Zahir Mulla and banned him and anyone else associated with Usangu Safaris from the convention or other SCI events and programs. That ban extended to Abdul Mulla, Zahir's brother, who had left the company due to a familial dispute. Abdul Mulla had gone on his own, creating the company Francolin Safaris.

Usangu Safaris stopped operating last year when its Usangu Flats concession, the only concession it had left, was absorbed into a national park. In the meantime, Abdul Mulla has been struggling to disassociate himself from Usangu and his brother's problems.

This rather long re-mention of Usangu Safari's woes, is a roundabout way of telling you that all those trophies from past Usangu clients finally are to be released. According to Abdul Mulla, he has negotiated a deal with the Tanzanian government to unite those trophies with the hunters who shot them. To do that, he says he is personally ponying up the money to pay for the trophy fees his brother never paid. Why is he willing to do this? Because he wants to clear his name of the fiasco and get back into SCI's good graces and of course the annual convention.

In order to get the trophies released, Abdul will need copies of paid invoices showing hunting dates and trophies taken from hunters who never received their trophies. Any copies of hunting licenses would be helpful too.

Yeah right.. na kuna negotiations mahali fulani wameandikiana?
 
Sioni cha maana zaidi ya majungu na kutafuta kila njia ya kuwa discredit watu ambao wanafanya biashara zao kihalali. Mnashangaza sana.

Hivi huwa hamna vya maana zaidi ya kudiscuss watu? huwa hamna ideas za kufanya mambo ya maana kama hao mnao wa discuss? au ni uvivu wa kufikiri? Poleni sana.
 
Sioni cha maana zaidi ya majungu na kutafuta kila njia ya kuwa discredit watu ambao wanafanya biashara zao kihalali. Mnashangaza sana.

Hivi huwa hamna vya maana zaidi ya kudiscuss watu? huwa hamna ideas za kufanya mambo ya maana kama hao mnao wa discuss? au ni uvivu wa kufikiri? Poleni sana.


Faiza Foxy,

Naona sasa wewe ndie unataka kupotosha umma hapa inamaana huwa hatu discuss watu hizi siku zote? Tendwa na Mkuchika tulio wa discuss leo wao ni hewa au hepu kuwa muwazi hapa umeajiliwa na Mulla wa hapo Arusha nini maana ukiangaliatu ni moja kati ya wafanyakazi wake nini nawe huwa unapelekwa Saudia au??

Mki taka tuwachane chane semeni watu wame toa hoja zao kama huna cha kuchangia just put no comments si watakuelewa, tuliwa discuss wakina Adv Mwale na hiyo issue ya kuhisiwa na Uuzwaji wa wanaya wetu mbona huku sema tu si discuss watu khaaaaa,

Njoo na hoja kali ndugu au nawe ni mmoja wao declare basi tujue!!!!!!
 



Faiza Foxy,

Naona sasa wewe ndie unataka kupotosha umma hapa inamaana huwa hatu discuss watu hizi siku zote? Tendwa na Mkuchika tulio wa discuss leo wao ni hewa au hepu kuwa muwazi hapa umeajiliwa na Mulla wa hapo Arusha nini maana ukiangaliatu ni moja kati ya wafanyakazi wake nini nawe huwa unapelekwa Saudia au??

Mki taka tuwachane chane semeni watu wame toa hoja zao kama huna cha kuchangia just put no comments si watakuelewa, tuliwa discuss wakina Adv Mwale na hiyo issue ya kuhisiwa na Uuzwaji wa wanaya wetu mbona huku sema tu si discuss watu khaaaaa,

Njoo na hoja kali ndugu au nawe ni mmoja wao declare basi tujue!!!!!!
"Great minds discuss ideas. Average minds discuss events. Small minds discuss people."
 
Back
Top Bottom