Huyo babu anaonyesha "umiliki" hapo amesimama halafu mguu unaziba naniiii na mkono unaziba manyonyo na nyundo aliyoshikilia ni silaha - Huyo inawezekana ni mke wake wa kumi!
Huyo babu anaonyesha "umiliki" hapo amesimama halafu mguu unaziba naniiii na mkono unaziba manyonyo na nyundo aliyoshikilia ni silaha - Huyo inawezekana ni mke wake wa kumi!
Babu inaelekea anamiliki huo mzigo(binti) na mkono ananawa titiz na nyundo ni silaha. Kwa sisi wajenzi tumeona mbali zaidi, zile tofari za msingi naona zimesimamishwa badala ya kulazwa, naomba wahandisi mnisaidie ni sahihi?????
Mkuu, huyo binti kama ni mwanao, yuko na babu yake-tembeza bakora kwa babu haraka sana!, ameshamharibu binti hawezi hata kusimama wima!: TIGO imefutwa marinda!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.