Huyu ni mlemavu au?

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,956
4,648
Jamani huyu babu ni mlemavu wa mguu na hapo amepewa msaada na huyo binti(sijui ni binti yake!!) au?
Na hiyo nyundo ni ya nini?
 

Attachments

  • babu.bmp
    1.1 MB · Views: 248
Ndibalema,

Huyo babu anaonyesha "umiliki" hapo amesimama halafu mguu unaziba naniiii na mkono unaziba manyonyo na nyundo aliyoshikilia ni silaha - Huyo inawezekana ni mke wake wa kumi!
 
Pozi la ukweli hilo broda...
Unauona wapi ulemavu hapo mkuu?...Mwache babu afaidi maisha bana, sikuchache zimembakia!
 
Ndibalema,

Huyo babu anaonyesha "umiliki" hapo amesimama halafu mguu unaziba naniiii na mkono unaziba manyonyo na nyundo aliyoshikilia ni silaha - Huyo inawezekana ni mke wake wa kumi!

Baba Eno bana! Umenichekesha mno.
 
Babu inaelekea anamiliki huo mzigo(binti) na mkono ananawa titiz na nyundo ni silaha. Kwa sisi wajenzi tumeona mbali zaidi, zile tofari za msingi naona zimesimamishwa badala ya kulazwa, naomba wahandisi mnisaidie ni sahihi?????
 
Ee bwana jioni ya leo cna mbavu ihi cjui ni wapi?vile sio kwa akina chacha ,wambura ,mangaana kweli iyo!
 
babu2.JPG

Mkuu, huyo binti kama ni mwanao, yuko na babu yake-tembeza bakora kwa babu haraka sana!, ameshamharibu binti hawezi hata kusimama wima!: TIGO imefutwa marinda!
 
Back
Top Bottom