muulize kanu ana miaka mingapi ndipo utaelewa...tafakari kabla hujajibu
Kulingana na TFF jamaa alioa akiwa na miaka 16
Anatakiwa ashitakiwe amevunja sheria ya ndoa 1971 ibara 13(1) ambayo hairuhusu mwanaume kuoa akiwa below 18 years.
Anatakiwa ashitakiwe amevunja sheria ya ndoa 1971 ibara 13(1) ambayo hairuhusu mwanaume kuoa akiwa below 18 years.
...Wiki iliyopita kulitokea utata juu ya umri wa mshambuliaji hatari wa Azam FC na Taifa Stars Mrisho Khalifan Ngasa...Lakini inasemekana huyu jamaa kaoa muda mrefu,naomba kuuliza alioa lini na akiwa na miaka mingapi...?
ndiyo maana watanzania tunaforge pasipo kufikiriaMwacheni jamani, jamaa wa Cameroun wakisikia wanaweza kata rufaa tumechezesha vijeba!! Lakn vizuri hawakumpanga siku ile...
...Wiki iliyopita kulitokea utata juu ya umri wa mshambuliaji hatari wa Azam FC na Taifa Stars Mrisho Khalifan Ngasa...Lakini inasemekana huyu jamaa kaoa muda mrefu,naomba kuuliza alioa lini na akiwa na miaka mingapi...?
ulikuwepo?Kulingana na TFF jamaa alioa akiwa na miaka 16
hayakuhusu...Wiki iliyopita kulitokea utata juu ya umri wa mshambuliaji hatari wa Azam FC na Taifa Stars Mrisho Khalifan Ngasa...Lakini inasemekana huyu jamaa kaoa muda mrefu,naomba kuuliza alioa lini na akiwa na miaka mingapi...?
wachezaji wa TZ hawaruhusiwi kutaja umri wa ukweli,kwa sababu
1.si warefu
2.hawana miili mikubwa
3.hawana nguvu sababu y lishe
hivyo wakitaja umri sahihi,vitachezeshwa visharo baro tu,mbio kidogo ulimi nje na zitapigwa bao kama mvua za masika.
mpwa huyu bana kwanza akuoa kaozeshwa huo mzigo yaani huyo nenda nae ..ndio maana unaona upumbavu unaoendelea kwenye ndoa yake bila kuheshimu..kwa miaka ni kijeba na kwa kukuhakishia hilo nilimjulisha JULIO Mapema kama mnataka kuondolewa kwenye mashindano mchzeshe Ngasa na sikumficha tuko radhi kuwasaidia FIFA this time..uwezi kuwa na viongoz wanaongea ujinga unaojulikana nilishangaa kusikia tenga anasema akuna tatizo tumefanya uchambuzi yakinifu kuhusu ngasa nkasema he amuingize aone