valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
Wabongo wanaimba vizuri. Nyimbo zao zina ujumbe kiasi... Bado natafuta yupi ni the best kati yao!
Pretty Huge Dude,P.H.D,Hemedy Suleiman...............
Wanajamii wamekuelewa lakini? maana imekuwa kipindi cha milazo ya kuchagua ma song!Muda sasa umewadia ndugu zangu watanzania,
mambo niliyoyafanya hayapasi kusimulia.......
........
we shark angalia signature yake hapo ndo maana ya mada yake inaanzia hapo kwa kauelewa kangu, afu go thuruu za mistari, ukigundua kitu niambie, usipo, niulize! 'za muda!!!'Jay Mo
aaah!!!!!! habari yako daughter!!!!! naona upo kwenye milazo ya ma song! lakini poa ebu angalia signature yake mi kama naona kitu fulani hapo kulingana na mada aliyoitoa au we unaonaje?mi namkubali twenty pa asilimaile,habani pua yule
nafkiri utakua umeona jitihada zangu hapa! mambo niaje!mi namkubali barnaba tu na kitu chake cha usilete zarau
afadhali wewe coz mada ya excellent afu ukimtaja roma mwake kabisa, napenda ungenitumia baadhi ya mistari yake ambayo unafikiri ni kwa nini umempost hapa ingekuwa pouwa.Mi namkubali Roma na Godzilla
Nilijua tu lazima umtaje mwanao wa Kinondoni....watoto wa kino bana. me namkubali the one and only one....piga keleeeeleeeeeeeeee for Mr.2 sugu