Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
thats is a very different attitude na ni advantage kwa wabunge makini kuitumia against hawa mabwana stareheNdio maana wabunge makini kama alivyokuwa Dr Slaa na wengineo walikuwa wanawagaragaza kwa vile muda huo wanafanya ufuska wao wenzao wanafanya tafiti mbalimbali kwa manufaa ya waliowapa dhamana hiyo.
Hata hivyo tatizo ni letu kwa vile tunawajua tabia zao na uwezo ila wakirudi kutuzuga tunawapa kura tena.