Huyu ndiye Simon Kisena mnunuzi wa UDA?

hahahahaaa namkumbuka sana bwana KISENA...ni mzuri wa kujenga hoja,mtu wa lobbying,ata kitendo cha kuondolewa MILAMBO ni kuwa na trust ya mgt!enzi hzo mi nipo TABORA SCHOOL...tulimuhfadhi bweni la Sina House il warambo wasmpe kipgo,akapga kombat zetu,akapga kwata sku kadhaa mpaka alpopata testmon ya kwenda Pugu sec.Ana tabia ya usalit na kautapeli
kaka hatukujua kama mumemficha huko, lakini mkuu wetu wa shule miaka ile alikuwa anahusika na alikuwa mtu wake wa karibu sana, kisena aliweza kulikisha infos zote, tulikuja kusikia yupo Pugu, nadhani walifanya hivyo kwa sababu ya maelewano ya mkuu wenu wa shule na huyo mkuu wetu na hatimae marehemu Gama kipindi kile mkuu wa mkoa wa Tabora, akaja tupa taarifa kuwa kuanzia sasa mkuu wa shule ya kazima atakuja kuwa mwalimu mkuu hapa na mkuu wa shule wa hapa kasimamishwa kazi, lakini waliendelea kulindana manake baadae alipewa fupa kubwa zaidi ya hilo na sijui sasa yupo wapi
 
Hivi kesi ya Muheshimiwa ya kulawiti mtoto wa shule iliishaje? Au ndio kama kawaida yao CCM kulinda uchafu wao?
 
Mkuu unasema kweli Kabisa....Jamaa muongeaji sana na ukikaa vibaya anakuingiza kingi mbaya...nakumbuka Nsumba alishakuwaga na noma kibao nyingine za kumfukuzisha shule Kabisa ila hakuwai hata kupewa adhabu. Yaani Jamaa ukimpa nafasi ya kuongea umekwisha.

Alikuwa na kiingereza kizuri sana na hicho ndo alikuwaga anawamaliza nacho walimu.

Wakati huo Mkuu wa shule Nsumba alikuwa Kibona .alikuwaga hataki utani yaani kitu kidogo tu unaenda home ila kwa Kisena alikwama.


hapana hakuishia O-level, alikuja Milambo mwaka 1991 kuanza form 5 na mwaka 1994 akaondoka katika mazingira ya kutatanisha, ila hakufukuzwa, kwani kipindi cha mgomo wa milambo secondary mwaka 1993 - 1994 hakuna mwanafunzi aliyefukuzwa, kipindi hicho alikuwa ni mwembamba sana, yani mumesema hapa ndo nimemkumbuka na alikuwa anaongea kama kameza redio, nahisi alikuwa anachukua mchepuo wa kifaransa au EGM, nimemkumbuka huyu kaka,
 
EGM Mkuu alimaliza nsumba 1991... Jamaa alikuwa msafi sana...muongeaji sana...usimpe nafasi atakuingiza kwenye kumi na name zake... English yake ilikuwa matata sana...yaani anaweza ongea masaa zaidi ya mbili bila kusema ah ah ah...yaani Kutafuta maneno


QUOTE="Akajasembamba-, post: 18260673, member: 252007"]hapana hakuishia O-level, alikuja Milambo mwaka 1991 kuanza form 5 na mwaka 1994 akaondoka katika mazingira ya kutatanisha, ila hakufukuzwa, kwani kipindi cha mgomo wa milambo secondary mwaka 1993 - 1994 hakuna mwanafunzi aliyefukuzwa, kipindi hicho alikuwa ni mwembamba sana, yani mumesema hapa ndo nimemkumbuka na alikuwa anaongea kama kameza redio, nahisi alikuwa anachukua mchepuo wa kifaransa au EGM, nimemkumbuka huyu kaka,[/QUOTE]
 
SIMON GROUP CO.LTD inayojitambulisha kununua shirika la usafiri Dar es Salaam ni wawakilishi wa viongozi wa Tanzania katika kufisadi mali za Umma.

Anae jitambulisha kama Robert Simon Kisena ambae alisoma Nsumba Sekondari School akijulikana kwa jina JOKALA KISEANA na kumaliza Kidato cha Nne mwaka 1991 baada ya hapo alijiunga na Kidato cha Tano Shule ya Sekondari Mirambo Tabora mwaka 1992, hapa alifukuzwa akiwa Kaka Mkuu baada ya kuwasaliti wanafunzi wenzake aliokuwa kiwachongea kwa mwalimu mkuu na wanafunzi kuungana na kusababisha kusimamishwa, baada ya hapa JOKALA KISENA ambae leo anajulikana kwa majina ya Robert kisena bila kutoa sababu za kubadilisha jina lake la awali alikuwan akikaa na rafiki yake uku akifanya kazi NCU Ushirika kanda ya ziwa-Nyanza,walikosana na rafiki yake aliyekuwa anakaa kwake baada ya kumpa mimba dada wa rafiki yake aliyekuwa akikaa kwake.

Katika Uchaguzi mkuu wa 1995 Kisena alichukuliwa na John Cheyo wakati huo Cheyo akiwa mgombea urais na kumuweka kuwa kama masidizi wa kusimamia mali zake Shinyanga,hapa ndio kisena alipata pesa kidogo isiyoweza kununua UDA.kisena katika kusimamia mali za cheo alifanikiwa kujenga nyumba Tatu zote zipo Nyegezi mwanza eneo lijulikanalo kwa jina la CALIFONIA.

Baada ya hapo ndio akaanzisha SIMON Agency iliyokuwa inajishughulisha na uuzaji wa spare za magari kwa muda na baadae akajiunga na Profesa Juma Kapuya akiwa waziri ambapo walifanikiwa kuanzisha kampunin iliyofahamika kwa jina la ROBASIKA-Robert Simon Kapuya na kufanikiwa kuchota bilioni 13 za wananchi kupitia Benki ya NMB mwanza kwa ushawishi wa kapuya na kuanzisha ginery ya pamba katika jimbo la kapuya .

Ndio maana ukifuatilia pesa zilizolipwa kwenye account ya Iddy Simba imelipwa na Robasika kwa niamba ya Simon Group ili wafanikiwe kuchukua UDA na Kapuya akiwamo uku Simon Group wakidai kuwa ni malipo iliyokuwa ikidaiwa na Simon Group kutoka kwa Robasika kutokana na mkataba kati ya Simon Group na Robasika wa kusafirisha mizigo.Robet kisena ni chambo tu katika kuwafanikishia watu maalum kazi.

Watanzania hapa kuna ujambazi wa mchana, tunaibiwa, Juma Kapuya, Iddy Simba, Didas Masaburi wanahujumu watanzania kupitia UDA.
Ndio maana Afrika maendeleo kiduchu,majungu matupu!mpaka midume inapiga umbea!!
 
SIMON GROUP CO.LTD inayojitambulisha kununua shirika la usafiri Dar es Salaam ni wawakilishi wa viongozi wa Tanzania katika kufisadi mali za Umma.

Anae jitambulisha kama Robert Simon Kisena ambae alisoma Nsumba Sekondari School akijulikana kwa jina JOKALA KISEANA na kumaliza Kidato cha Nne mwaka 1991 baada ya hapo alijiunga na Kidato cha Tano Shule ya Sekondari Mirambo Tabora mwaka 1992, hapa alifukuzwa akiwa Kaka Mkuu baada ya kuwasaliti wanafunzi wenzake aliokuwa kiwachongea kwa mwalimu mkuu na wanafunzi kuungana na kusababisha kusimamishwa, baada ya hapa JOKALA KISENA ambae leo anajulikana kwa majina ya Robert kisena bila kutoa sababu za kubadilisha jina lake la awali alikuwan akikaa na rafiki yake uku akifanya kazi NCU Ushirika kanda ya ziwa-Nyanza,walikosana na rafiki yake aliyekuwa anakaa kwake baada ya kumpa mimba dada wa rafiki yake aliyekuwa akikaa kwake.

Katika Uchaguzi mkuu wa 1995 Kisena alichukuliwa na John Cheyo wakati huo Cheyo akiwa mgombea urais na kumuweka kuwa kama masidizi wa kusimamia mali zake Shinyanga,hapa ndio kisena alipata pesa kidogo isiyoweza kununua UDA.kisena katika kusimamia mali za cheo alifanikiwa kujenga nyumba Tatu zote zipo Nyegezi mwanza eneo lijulikanalo kwa jina la CALIFONIA.

Baada ya hapo ndio akaanzisha SIMON Agency iliyokuwa inajishughulisha na uuzaji wa spare za magari kwa muda na baadae akajiunga na Profesa Juma Kapuya akiwa waziri ambapo walifanikiwa kuanzisha kampunin iliyofahamika kwa jina la ROBASIKA-Robert Simon Kapuya na kufanikiwa kuchota bilioni 13 za wananchi kupitia Benki ya NMB mwanza kwa ushawishi wa kapuya na kuanzisha ginery ya pamba katika jimbo la kapuya .

Ndio maana ukifuatilia pesa zilizolipwa kwenye account ya Iddy Simba imelipwa na Robasika kwa niamba ya Simon Group ili wafanikiwe kuchukua UDA na Kapuya akiwamo uku Simon Group wakidai kuwa ni malipo iliyokuwa ikidaiwa na Simon Group kutoka kwa Robasika kutokana na mkataba kati ya Simon Group na Robasika wa kusafirisha mizigo.Robet kisena ni chambo tu katika kuwafanikishia watu maalum kazi.

Watanzania hapa kuna ujambazi wa mchana, tunaibiwa, Juma Kapuya, Iddy Simba, Didas Masaburi wanahujumu watanzania kupitia UDA.
sasa huyu kwa usukuma wake huu, mtu wa kanda hiyo, atashughulikiwaje? hivi unafikiri kuna chochote kitafanyika juu yake hapo? hii nchi haina ukabila
 
2011...Mtu aliyejiunga 2017 nae anaquote post iliyoandikwa miaka sita iliyopita...alafu anaquote as if ni post ya hivi punde...May be muda huo kijamaa kilikuwa primary...Jf vituko sana humu sometimes
 
SIMON GROUP CO.LTD inayojitambulisha kununua shirika la usafiri Dar es Salaam ni wawakilishi wa viongozi wa Tanzania katika kufisadi mali za Umma.

Anae jitambulisha kama Robert Simon Kisena ambae alisoma Nsumba Sekondari School akijulikana kwa jina JOKALA KISEANA na kumaliza Kidato cha Nne mwaka 1991 baada ya hapo alijiunga na Kidato cha Tano Shule ya Sekondari Mirambo Tabora mwaka 1992, hapa alifukuzwa akiwa Kaka Mkuu baada ya kuwasaliti wanafunzi wenzake aliokuwa kiwachongea kwa mwalimu mkuu na wanafunzi kuungana na kusababisha kusimamishwa, baada ya hapa JOKALA KISENA ambae leo anajulikana kwa majina ya Robert kisena bila kutoa sababu za kubadilisha jina lake la awali alikuwan akikaa na rafiki yake uku akifanya kazi NCU Ushirika kanda ya ziwa-Nyanza,walikosana na rafiki yake aliyekuwa anakaa kwake baada ya kumpa mimba dada wa rafiki yake aliyekuwa akikaa kwake.

Katika Uchaguzi mkuu wa 1995 Kisena alichukuliwa na John Cheyo wakati huo Cheyo akiwa mgombea urais na kumuweka kuwa kama masidizi wa kusimamia mali zake Shinyanga,hapa ndio kisena alipata pesa kidogo isiyoweza kununua UDA.kisena katika kusimamia mali za cheo alifanikiwa kujenga nyumba Tatu zote zipo Nyegezi mwanza eneo lijulikanalo kwa jina la CALIFONIA.

Baada ya hapo ndio akaanzisha SIMON Agency iliyokuwa inajishughulisha na uuzaji wa spare za magari kwa muda na baadae akajiunga na Profesa Juma Kapuya akiwa waziri ambapo walifanikiwa kuanzisha kampunin iliyofahamika kwa jina la ROBASIKA-Robert Simon Kapuya na kufanikiwa kuchota bilioni 13 za wananchi kupitia Benki ya NMB mwanza kwa ushawishi wa kapuya na kuanzisha ginery ya pamba katika jimbo la kapuya .

Ndio maana ukifuatilia pesa zilizolipwa kwenye account ya Iddy Simba imelipwa na Robasika kwa niamba ya Simon Group ili wafanikiwe kuchukua UDA na Kapuya akiwamo uku Simon Group wakidai kuwa ni malipo iliyokuwa ikidaiwa na Simon Group kutoka kwa Robasika kutokana na mkataba kati ya Simon Group na Robasika wa kusafirisha mizigo.Robet kisena ni chambo tu katika kuwafanikishia watu maalum kazi.

Watanzania hapa kuna ujambazi wa mchana, tunaibiwa, Juma Kapuya, Iddy Simba, Didas Masaburi wanahujumu watanzania kupitia UDA.
Mambo ya kipuuuuzi! sasa yametimia. Ndo umuhimu wa kuwa na kiongozi asiyejali uswahiba. Halafu li-mtu linazunguka nje ya nchi bila hata kutumwa!
 
Back
Top Bottom