Safari hii zamu ya wanawake.......sofia simbaNi swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
NI NANI ATAKUWA RAIS 2015 KATI YA HAWA:?
1. BERNAD MEMBE
2. EDWARD ROWASA
3. PM PINDA
4. DR SLAA
5. PROF. LIPUMBA
ume-observe sahihi kabisa dada.Hawezi kuwa rais wa Tanzania ni mpole mno
Tunahitaji mtu mkali kiasi
ume-observe sahihi kabisa dada.
Dr.Shein hataweza kuwa mgombea wa CCM kwa Urais wa TZ 2015 kwa kuwa itakuwa zamu ya Rais MKRISTU,mpende msipende.
Acha uXXXXng mimi siyo dada..ni mwanaume wenye wake wawili watoto 7..
tehe tehe tehe. Samahani mkuu, hiyo ID yako nimeifananisha na mafuta flani ya urembo wa kina dada. Ila wewe utakuwa ni suruali fupi tu. Kwa jinsi ulivyowaka? Halafu ndoa zako pia zinasadifu kabisa. Kam daun.Acha uXXXXng mimi siyo dada..ni mwanaume wenye wake wawili watoto 7..
tehe tehe tehe. Samahani mkuu, hiyo ID yako nimeifananisha na mafuta flani ya urembo wa kina dada. Ila wewe utakuwa ni suruali fupi tu. Kwa jinsi ulivyowaka? Halafu ndoa zako pia zinasadifu kabisa. Kam daun.
Mpambano utakua kati ya Dr John Magufuli Vs Padre Mstaafu Wilbroad Slaa!
Ni swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
NI NANI ATAKUWA RAIS 2015 KATI YA HAWA:?
1. BERNAD MEMBE
2. EDWARD ROWASA
3. PM PINDA
4. DR SLAA
5. PROF. LIPUMBA
Ni swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
NI NANI ATAKUWA RAIS 2015 KATI YA HAWA:?
1. BERNAD MEMBE
2. EDWARD ROWASA
3. PM PINDA
4. DR SLAA
5. PROF. LIPUMBA
Magufuli ni jembe la kutosha Kuongoza Tanzania 2015-2025!Unajifanya humjui Dr John Pombe Magufuli? Huyo ndie Rais wa 2015-2025!
Ndicho anachopenda mkoloni,badala ya kuzungumzia ni kwa vipi tutajikwamua,kila sikua ni rotation tu ya makapi kwenye madaraka ya nchi.Safari hii zamu ya wanawake.......sofia simba
Ni swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
NI NANI ATAKUWA RAIS 2015 KATI YA HAWA:?
1. BERNAD MEMBE
2. EDWARD ROWASA
3. PM PINDA
4. DR SLAA
5. PROF. LIPUMBA