Huyu ndiye mwanamke na thamani yake!!..

I hear i forget, I see i remember, I do i understand,nataman dadaz wangeelewa zaid maana hili ni lao.
 
NAMSHKURU MAMA YANGU ALIEKUBALI KUACHA KAZI MPAKA LEO KWA AJILI YA KUNILEA , ALILIONA HILO
NANI KAMA "MAMA"
BEKI TATU HAJUI KULEA MATUSI YAMEMJAA MDOMONI,
DAH wanawake hapa hakuna ubishi mmenyweshwa sumu kama waasi wa gadafi
 
NAMSHKURU MAMA YANGU ALIEKUBALI KUACHA KAZI MPAKA LEO KWA AJILI YA KUNILEA , ALILIONA HILO<br />
NANI KAMA &quot;MAMA&quot;<br />
BEKI TATU HAJUI KULEA MATUSI YAMEMJAA MDOMONI, <br />
DAH wanawake hapa hakuna ubishi mmenyweshwa sumu kama waasi wa gadafi
<br />
<br />
Mama yako aligundua anachotakiwa kufanya,aliona mtoto ana thamani kuliko kazi!Mpe pongezi mama,huyo ni mama wa ukweli!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mama yako aligundua anachotakiwa kufanya,aliona mtoto ana thamani kuliko kazi!Mpe pongezi mama,huyo ni mama wa ukweli!
<br />
<br />
mmh! My bro Eiyer umeguswa sana na hili eeh? Haya bana leo mi sina cha kuchangia napita tu!
 
Kila kukicha kumekuwa kukitotea mambo mengi sana mema na mabaya katika maisha ya mwanadam,lakini wataalam wa saikolojia wamekuwa wakisema kila siku kuwa binadam huwa kama alivyo kutokama na malezi yake,na tatizo kubwa la matukio yanayotokea leo,ikiwemo kwenye mahusiano ni malezi yaleyale,asilimia yetu kubwa hatukupata malezi ya baba na mama kutokana na wazazi wetu kukosa muda wa kuwa nasi,kazi zao ndo zimekuwa shida!Mama ndie alikuwa na jukumu hili,lakini leo ameicha kazi hii ya thamani ya kumjenga mwanadamu nae anaenda kwenye mapilika ya mwanaume akidhani ndiyo maisha bora,kumbe hakujua kuwa,alipoonekana raisi bora ni mama alimfanya awe bora,as well as meneja yoyote,waziri,mwanamuziki na wagunduzi wa vifaa mbalimbali na n.k,hawa walikuwa ni matokeo ya ubora wa kazi ya mama,thamani yake ilikuwa halisi ndo maana kukawa na kauli kama 'nani kama mama'?Hii ilitokana na shughuli nzuri ya malezi ya mama,ndio maana walisema ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii nzima,hii ilitokana na nafasi aliyokuwa nayo!Huyu ndie mwanamke mwenye thamani ya ukweli!Leo wanadamu tumekuwa na tabia za ajabu coz tumekosa hayo,tumelelewa na mahause girl ambao wanamatatizo mengi huku mama akienda kufanya kazi asiyomhusu,tena kazi isiyokuwa na thamani yake,Nani alimdanganya mwanamke kuwa uwaziri au urais ni bora kuliko kutengeneza tabia ya huyo waziri ambayo uadilifu wa kazi yake ni sifa tosha kwa mama?Wanawake amkeni mmedanganywa!
<br />
<br />
 
Wanataka usawa haoo!.. Sijui nani kawaambia kuwa mwanamke miaka ya sasa huwa sawa na mwanaume, sijui ni nani huyoo!!.. Na ndio maana familia zinaharibika hazipati malezi bora bali zinaambulia borb malezi!!...
 
Back
Top Bottom